Ludovick Joseph akamatwa na Polisi...

Ludovick Joseph akamatwa na Polisi...

THERE IS NO PERFECT CRIME!
Lazima kuna clue itakayotuongoza kupata ukweli.
 
Naomba mods waicrop hiyo picha ili huyo dada asionekane, (dada) hana kosa lolote
 
Ni mwanzo mzuri kama hakuna usanii uliotumika kumkamata huyu J.Ludovick
 
Cwezi shangaa kuckia mtu kakamatwa na kusema "nilitumwa na mbowa na dr slaa" hao ndio watu wanaotafutwa kwa gharama yoyote
 
Nilisema
Aliyeupload you tube
Aliyeupload jf.......connecting the dot
Kipindi hiki cha issue ya kibanda kuhusisha na cdm na freemedia...
Hatuna elimu vyeti tutuna elimu akili ndefu ndefu
 
Ukifungua page ya Joseph Ludovick kwenye facebook anasema alitekwa na majambazi siku ya tukio la kupigwa Kibanda na majambazi ila hawakumpiga zaidi ya kumvua nguo na kuchukua vitu alivyokuwa navyo kama flash disk, laptop na pesa elfu 35. Inabidi tuconnect dots hapa. Kuna uwezekano flash disk na laptop ndo ali-save hiyo clip na recordings nyingine. Ishu inaweza kuwa kweli na kumbuka jamaa wangeipeleka polisi wasingepata hela hivyo kunauwezekano kuipeleka CCM ndo waliona jamaa watatoa hela.
Ukimsikiliza Dr slaa anasema walishapata habari kwamba kitu kama hicho kitatokea na walikuwa wanajiandaa jinsi ya kudeal nayo
Mimi CDM ila tuangalie mlolongo wa matukio hapo na hakuna lisilowezekana
Inawezekana Lwakatare alifanya kweli pengine kuwalizisha wakubwa, na theories nyingine tu hapo
mkuu unataka kumaanisha Ludovick aligeukwa na aliotaka kuwauzia dili.?
 
aibu ilioje, hakika Mungu hawafichi wanafiki...natetemeka Ninavyosoma mjengwa anahusika kwa namna yoyote ile
Hivi unamfahamu Ludovic?. Usishangae kuona CHADEMA wanaikimbia hii thread. Hii imekaa vibaya kwa CHADEMA, fanya kwanza utafiti and then come back.
 
Wadau tuwe makini sana na sinema ya kichina inayochezwa na vyombo vya dola.
Kuna mtu anatajwa kwa jina la Ludovick katika video clip ya bukoba boy. Na kwa wale tuliofuatilia kwa umakini comments za wanaccm mitandaoni walionyesha kumfahamu huyo Ludovick.
Sasa hapa ndipo mahali pa kuwa makini sana na ku connect dots!

Sina kigugumizi kusema kwa uwazi kuwa hii sinema ina lengo moja tu la kumtia hatiani Lwakatare na si vinginevyo. Endeleeni kufuatilia hii sinema ya maudodo mimi hawanipati ng'o!
 
Jamani, mimi sibahatishi! Hapa nimeamua kupambana maana najua maisha yana mwisho. Hii habari ya kukamatwa kwake ni kweli kabisa. Watanzania tupambane tuhakikishe Tanzania inakuwa salama wa binadamu wote kuishi.

je wewe una uhusiano gani na Benard Membe?. mia
 
Hujui uongeacho kwa maana ufahamuwako umeng'ng'aniwa mahala, zaidi najitolea kukuoombea toba ili gadhabu ya Mungu isije pita na wewe shabiki usiye kuwa na sifa za ushabiki,Mungu akuumbie moyo safi wa kung'amua jema na baya na useme amina.

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Shonza naye asiachwe anaijua hii Mutu kasema mwenyewe, Movie hili la Kibongo litatengeneza hela nzuri ila likikamilika barabara Na Nchi haipo. Mwigulu Ndo haponi kabisa Na Yeye atakubalije atolewe kafara Alone si Ndo hapo atawataja nyie.. Haposasa..!
 
chadema inakufa kiutamu sana..

Kweli mbio za sakafuni huishia ukingoni..
 
Aliyekamatwa nadhan atalipwa donge nono ili akubali kukiangamiza CDM.
Mmemsahau Mkenya wa Ulimboka alivyokuwa akilazimishwa kuikubali kesi?
Sasa,tumuombe Mungu Kibanda awe mzalendo kwa hili.
Kaka ni kama tuna akili moja..
hawa watu wanaweza kumpa hata hela zote za EPA alimradi tu aingamize Chadema, sina imani kabisa.
 
Naona CHADEMA wanashindwa ku comment kwenye huu uzi, wanasubiri mwongozo!

Toweni maoni yenu kulingana na Mtiririko wa taarifa mlizonazo.

Mungu hamfichi mnafiki, awe CCM au CHADEMA mwisho tutamjua tu.
Vipi akiwa CUF, Mungu anamficha?
 
Back
Top Bottom