niko kahama watu ni lowasaaaa tu.
kwa hali inavyokwenda kwa sasa NEC ina kazi kabwa sana ya kuibeba ccm ...hali ni mbaya mno kwa ccm ...lowasa HASHIKIKI na anafanya kampeni za kistaarabu mnoo ...ccm ina kazi kubwa sana ...hata dola haitafanikiwa kuibeba ccm, ni kazi ngumu sana kuinadi ccm kwenye mikoa inayojitambua...lubuva yupo kwenye wakati mgumu mnooo akisema atende haki ccm inapigwa mapema sana ...haki isipotendeka hii nchi itaelekea kubaya sana na taifa liweza kugawanyika vipande vipande baada ya uchaguzi....ccm wamebaki kudeal na lowasa kila kukicha na kusababisha jina lake kupaaa....magufuli anateswa na yaliyofanywa na viongozi waliopita kuwashawishi wanachi kwa chama kile kile sera zile zile ilani ile ile ikiwa imebadilishwa maneno tuuu
ccm siwataki kabisa...wametufanya tuwe maskini.....natokea Rorya adhi tunayo tele kubwa lakini haina value,sasa Lowassa kahidi kupima ardhi yoye ya Tanzania ni kutoa hati....hapo Magufuli wa nini?.EDO TU HAPA.
Mbona mnalumbana kwa kukashifiana ba jameni.Tuache utani na upenzi wa vyama, mwaka huu kwa mara ya kwanza tutakuwa na Uchaguzi mgumu na wenye upinzani wa hali ya juu sana kila ngazi kama zilivyo chaguzi za wenzetu Zambia,Malawi,Kenya,Nigeria,Ghana,USA,UK.Wagombea wamwage sera tuwasikilize.Watu tujitokeze kwa Wingi bila kufanya fujo,Tume itende haki..Rais bora atapatikana mwaka huu 2015 (Nimtaje?).MUNGU IBARIKI TANZANIA
Hizo kauli zenu wapiga kura wamezingatia sana mahitaji yenu Tusubiri Tar 25 .10 mle kichapo ambacho mtashaanga ni sisi kweli .Amini na kuambia Uchaguzi wa Mwaka huu ni Mwepesi Sana sanaa Kuliko unavyodhani ni Sawa na Vikao vya harusi Siku ya kwanza kikao watu wanajaa vikao vinavyoendelea watu mnaachana mpaka mpigiwe Simu .Na ndio itakavyokuwa Mtaachana Mmoja mmoja mpaka Mtabaki mnalialia .narudi a tena FISADI HAINGII IKULU N'GOOOO
Ushindi ni asubuhi.Kutokana na furaha kubwa nitakayokuwa nayo,kwanza nitazimia madakika kadhaa.Wale ntaokaokua nao mjue kabisa ni Mzimio wa Furaha tu...Baada ya kupepewa ntaamka na kutembea uchi mpaka ofisi za CHADEMA huku nikiwa na Bango kubwa lenye picha Lowasa 2015-2020!!
Ushindi ni asubuhi.Kutokana na furaha kubwa nitakayokuwa nayo,kwanza nitazimia madakika kadhaa.Wale ntaokaokua nao mjue kabisa ni Mzimio wa Furaha tu...Baada ya kupepewa ntaamka na kutembea uchi mpaka ofisi za CHADEMA huku nikiwa na Bango kubwa lenye picha Lowasa 2015-2020!!
Mkuu nina "la jang'ombe"....ratiba maandamano haijajulikana vizuri coz itategemea matokeo yatanikuta wapiWewe ni me au ke?
Kama ni me usijibu hili swali.
Lakini kama ni ke basi tufahamishe haya maandamano yako yataanzia mtaa gani tuje tukusindikize.
ushindi ni saa 4 asubuiJiandae kuandamana kupinga Matokeo ukiwa uchi .... Maana hatoshinda