Lowassa: Tutachukua nchi asubuhi

Lowassa: Tutachukua nchi asubuhi

nikweli furaha ya ushindi wa lowasa haitathimiki sijui furaha yangu itakuaje hata mm nahisi ntazimia!
 
Ushindi ni asubuhi.Kutokana na furaha kubwa nitakayokuwa nayo,kwanza nitazimia madakika kadhaa.Wale ntaokaokua nao mjue kabisa ni Mzimio wa Furaha tu...Baada ya kupepewa ntaamka na kutembea uchi mpaka ofisi za CHADEMA huku nikiwa na Bango kubwa lenye picha Lowasa 2015-2020!!

A kishindwa tembea na nguo mpaka Lumumba.
 
Naona mpoo na wenzenu watakuja hivi punde kufarijiana.
 
nadhani siku hiyo hutakumbuka kwa kuwa ukawa watakuwa busy na wanasheria wao na waandamanaji kwenda kupinga ushindi wa ccm mahakamani.
 
Hahahaaaaa mtoa mada anza leo kutembea mtupu tuone je unamvutoo?..kisha tukushauri ili siku ikifika uonekane watofauti
 
Nitaweka gari yangu mafuta full tank kisha nitazunguka morogoro mjini yote mpaka yaishe kisha nitaisukuma mpaka kituo cha mafuta.
 
ahadi yako ikamilike maana hata mungu anawapenda wanao timiza ahad wanazo zitoa
 
Baada ya Lowassa kuapishwa kuwa raisi wa TZ october, Heshima yake kwa kila mtu hasa watu wa CCM Itarudi. Na kwamba hakuna atakaethubutu kumwita raisi wetu kuwa ni fisadi kama watu wanavotamka kiraisi raisi, jela itawahusu.

Ni lazma wananchi wawe tayari kufanya mabadiliko wa kuondoa mfumo wa kinyonyaji na wenye uchu wa madaraka wa CCM. Hatma ya Tanzania ni mungu mwenyewe anaijua.

bariki ukawa, bariki duni, bariki lowassa
 
Unajua maana ya heshima ww? Fisadi hana heshima mpaka siku anaingia kaburini. Si ajabu hata kaburi lake likawa vandalized! Tutakuwa tumepotea kama taifa tukianza kuheshimu wezi eti kwa kuwa ni marais. Mwizi ni mwizi tu hata awe malaika na bila kujali ametoka chama gani. I got no respect whatsoever for dem thieves....!
 
Unajua maana ya heshima ww? Fisadi hana heshima mpaka siku anaingia kaburini. Si ajabu hata kaburi lake likawa vandalized! Tutakuwa tumepotea kama taifa tukianza kuheshimu wezi eti kwa kuwa ni marais. Mwizi ni mwizi tu hata awe malaika na bila kujali ametoka chama gani. I got no respect whatsoever for dem thieves....!


Kwanza nianze kwa kutoa pole kwa ndugu na jamaa wa Mwanamke pamoja na mtoto wa miaka 12 waliopoteza maisha kufuatia msongamano mkubwa uliotokea kwenye uwanja wa Jamhuri Morogoro.
Mungu awatie nguvu na subira wafiwa wote.
Angalizo kwa vyama vya siasa wakati huu wa kampeni za uchaguzi.
1. Ni vyema vyama vikazingatia zaidi kueneza sera za vyama vyao zikubalike kwa wananchi na wasishindane ni chama kipi kinajaza watu kwenye mikutano.
2. Tabia za vyama kusomba watu kwa magari kuwapeleka kwenye mikutano ziepukwe kwani zinafanya kutokuwa na uwiano sawa kati ya eneo husika na idadi ya watu waliohudhuria.
3. Tunajua umuhimu wa wasanii katika kuhamasisha na kama mjuavyo wasanii wengi wa Tanzania wanapendwa na makundi tofauti kama watoto, vijana na akina mama hivyo kama chama ikabidi kuwa na wasanii kwenye kampeni kihakikishe mahala kusanyiko litakapofanyika kuna usalama na nafasi ya kutosha.

Kuwa na maamuzi ya busara
1. Kama kiongozi wa nchi, na mgombea uraisi mnakuwa kwenye mkutano na kusifia umati mkubwa ambao hamjawahi kuuona and yet mnashindwa kuona athari iliyopo mbele kwa raia wenu huo ni udhaifu mkubwa kwenye maamuzi na maono yenu. Kama hiyo ilitokea mbele yenu basi mjue kuwa hata nyie hamkuwa katika usalama kwani lolote lingeweza kutokea. Je kwa hali hiyo mnahitaji kura kweli ikiwa hamjali usalama wa raia wenu?

2. Iweje uwanja una mageti 8 then mamlaka husika ifungue mageti matatu tu ili watu waingie na kutoka? Kilikuwa na hofu gani ya kufungua mageti yote? Mamlaka husika inabidi iwe responsible kwa yote yaliyotokea na wawajibishwe. Hapa ni viongozi wote waliokuwepo wanatakiwa kushare responsibility.

UJUMBE.
Mafuriko ya kutengeneza yana madhara. Tuache maji yafuate mkondo wake kwani nature ina namna ya kuyadhibiti. Ukitengeneza mafuriko wakati uko bondeni kwanini yasikudhuru?
 
Kwanza nianze kwa kutoa pole kwa ndugu na jamaa wa Mwanamke pamoja na mtoto wa miaka 12 waliopoteza maisha kufuatia msongamano mkubwa uliotokea kwenye uwanja wa Jamhuri Morogoro.
Mungu awatie nguvu na subira wafiwa wote.
Angalizo kwa vyama vya siasa wakati huu wa kampeni za uchaguzi.
1. Ni vyema vyama vikazingatia zaidi kueneza sera za vyama vyao zikubalike kwa wananchi na wasishindane ni chama kipi kinajaza watu kwenye mikutano.
2. Tabia za vyama kusomba watu kwa magari kuwapeleka kwenye mikutano ziepukwe kwani zinafanya kutokuwa na uwiano sawa kati ya eneo husika na idadi ya watu waliohudhuria.
3. Tunajua umuhimu wa wasanii katika kuhamasisha na kama mjuavyo wasanii wengi wa Tanzania wanapendwa na makundi tofauti kama watoto, vijana na akina mama hivyo kama chama ikabidi kuwa na wasanii kwenye kampeni kihakikishe mahala kusanyiko litakapofanyika kuna usalama na nafasi ya kutosha.

Kuwa na maamuzi ya busara
1. Kama kiongozi wa nchi, na mgombea uraisi mnakuwa kwenye mkutano na kusifia umati mkubwa ambao hamjawahi kuuona and yet mnashindwa kuona athari iliyopo mbele kwa raia wenu huo ni udhaifu mkubwa kwenye maamuzi na maono yenu. Kama hiyo ilitokea mbele yenu basi mjue kuwa hata nyie hamkuwa katika usalama kwani lolote lingeweza kutokea. Je kwa hali hiyo mnahitaji kura kweli ikiwa hamjali usalama wa raia wenu?

2. Iweje uwanja una mageti 8 then mamlaka husika ifungue mageti matatu tu ili watu waingie na kutoka? Kilikuwa na hofu gani ya kufungua mageti yote? Mamlaka husika inabidi iwe responsible kwa yote yaliyotokea na wawajibishwe. Hapa ni viongozi wote waliokuwepo wanatakiwa kushare responsibility.

UJUMBE.
Mafuriko ya kutengeneza yana madhara. Tuache maji yafuate mkondo wake kwani nature ina namna ya kuyadhibiti. Ukitengeneza mafuriko wakati uko bondeni kwanini yasikudhuru?
Sasa umeniandikia hili gazeti ili iweje? Linahusianaje na mada husika? Mi nimesema sina heshima na mianasiasa hii mijizi hata siku moja iwe miraisi ama la TENA BILA KUZINGATIA IMETOKA CHAMA GANI. Sasa ww umefyatuka na mafuriko ya kutengeneza mara sijui nini. Hayo mafuriko ya kutengeneza mi yananihusu nini? Mtafute Nappe au aliyekuwa msimamizi wa huo mkutano umlalamikie. Yaani siasa za mwaka huu ni kazi kweli kweli!
 
SHIMBA YA BUYENZE

naona unafikira duni, poor analysis, poor thinking. Katika wanaowania urais wa vyama hivi vikubwa wote wana kashfa ya ufisadi (Richmond , nyumba za serikali, feri, barabara chini ya viwango)

Bali kati ya hawa tunahitaji kiongozi bora anatayetuondoa kwenye mfumo ubovu wa utawala kwenda mfumo utakautunufaisha watanzania wote kwa matabaka yote.

Na Edward Lowassa anaweza hilo kwa vitendo, ndio rais wangu.
 
SHIMBA YA BUYENZE

naona unafikira duni, poor analysis, poor thinking. Katika wanaowania urais wa vyama hivi vikubwa wote wana kashfa ya ufisadi (Richmond , nyumba za serikali, feri, barabara chini ya viwango)

Bali kati ya hawa tunahitaji kiongozi bora anatayetuondoa kwenye mfumo ubovu wa utawala kwenda mfumo utakautunufaisha watanzania wote kwa matabaka yote.

Na Edward Lowassa anaweza hilo kwa vitendo, ndio rais wangu.

Na wenye uelewa na akil kamil tunasema AMEEEEN
 
Back
Top Bottom