Lowassa: Tutachukua nchi asubuhi

Lowassa: Tutachukua nchi asubuhi

unajua maana ya heshima ww? Fisadi hana heshima mpaka siku anaingia kaburini. Si ajabu hata kaburi lake likawa vandalized! Tutakuwa tumepotea kama taifa tukianza kuheshimu wezi eti kwa kuwa ni marais. Mwizi ni mwizi tu hata awe malaika na bila kujali ametoka chama gani. I got no respect whatsoever for dem thieves....!

riz wani tumuiteje basii?
 
Sasa umeniandikia hili gazeti ili iweje? Linahusianaje na mada husika? Mi nimesema sina heshima na mianasiasa hii mijizi hata siku moja iwe miraisi ama la TENA BILA KUZINGATIA IMETOKA CHAMA GANI. Sasa ww umefyatuka na mafuriko ya kutengeneza mara sijui nini. Hayo mafuriko ya kutengeneza mi yananihusu nini? Mtafute Nappe au aliyekuwa msimamizi wa huo mkutano umlalamikie. Yaani siasa za mwaka huu ni kazi kweli kweli!
Sisa za mwaka huu ni rahisi kwa ukawa
 
Kashfa ya richmond niya jk na mpaka sasa mitambo hiyo inaendelea kupiga mzigo na tunalipa billions tzshs. Baada ya lowasa kujiuzuru wameibadilisha majina mara mbili Dowans, symbion power.
 
Leo asubuhi nimeamka mwenye furaha sana baada ya kuota lowasa ameshinda uchaguzi.
 
Huyu mtu naona anaenda kupotea kisiasa na uchu wake wa madaraka umuishie, na 2020 ukawa wataenda kumwomba slaa tena agombee!!
 
hata mimi usiku wa kuamkia leo j4 nimeota hivyo tena kachagua watu wapo mitaani wanapiga kazi mtaa kwa mtaaa dah...aisee naomba iwe kweli
 
Back
Top Bottom