Lowassa: Tutachukua nchi asubuhi

Lowassa: Tutachukua nchi asubuhi

UKAWA ITASHINDA MWAKA HUU,hii ni kwasababu watanzania wamechoka kuibiwa mali zao kwa miaka zaidi ya 50 na kupewa ahadi hewa kutoka kwa CCM. sasa hatudanganyiki.
 
Hadi kufika 25 oct hao wananchi watakuwa wameijua ukawa ya wapiga dili
 
kwa faida yako; huko watu wengi hawakujiandikisha kwenye daftrai la wapiga kura


hakuna dalili za bvr kupita maeneo hayo tena .

Pole yako


View attachment 280959

mkuu mbona na mimi nilijiandikisha kijiji cha MUHORO?. WEWE HIZO HABARI ZA HILO GAZETI HUKUELEWA. SEMA WILAYA HIZO 4 ZINA WAPIGA KURA WACHACHE LAKINI WENGI TUMEJIANDIKISHA NA NAKUMBUKA TUME WALISEMA MKOA WA LINDI NA PWANI WALIJIANDIKISHA KWA ZAIDI 95%. ANGALIA LIBRARY YAKO UTAONA.
 
mkuu mbona na mimi nilijiandikisha kijiji cha MUHORO?. WEWE HIZO HABARI ZA HILO GAZETI HUKUELEWA. SEMA WILAYA HIZO 4 ZINA WAPIGA KURA WACHACHE LAKINI WENGI TUMEJIANDIKISHA NA NAKUMBUKA TUME WALISEMA MKOA WA LINDI NA PWANI WALIJIANDIKISHA KWA ZAIDI 95%. ANGALIA LIBRARY YAKO UTAONA.


NAONA HUONI VIZURI ; NIMEKUZA PICHA; AU UNATUMIA NOKIA YA TOCHI???????????????

SOMA HALAFU NJOO TUJADILI
attachment.php
 
imagesg.jpgWazee wengi wamekwisha jitambua, wamama wengi bado vichwa vigumu
 
Mimi daily nakikagua Kichinjio changu (NEC Card) kwenye Safe yangu uchwara, ni lazima nikishike na kukikagua then nakirudisha.
 
tutamchagua magufuli ili mwanamke mwenzetu kwa mara ya kwanza awe makam wa rais.
 
umeshasema asilimia 65 ya rufiji ilichukuliwa na cuf...sasa kama hakuna maendeleo mwakamate hao hao cuf si mliwaamini.
 
umeshasema asilimia 65 ya rufiji ilichukuliwa na cuf...sasa kama hakuna maendeleo mwakamate hao hao cuf si mliwaamini.

mkuu serikali za mitaa si mwaka jana ndio cuf wamechukua viti 65% kutoka kwa ccm?. Bado udiwani mwaka huu, ubunge na urais. Mkuu utasikia tu mziki wa huku sio mchezo
 
Lakini ni ukweli unasikitisha kwamba wananchi wengi wa vijijini hawana habari na vuguvugu la kisiasa linaloendelea..wengi wao wanajua tu ccm ndio inayodumisha amani na kuwa isipotawala vita kubwa itatokea..umati huu uliobado na ujinga mwingi ndio wapiga kura wazuri wa chama cha mafisadi na bahati mbaya wako wengi mno ukilinganisha na wavuguvugu ambao wengi wetu tuko mijini tu..kwahyo nafasi ya ccm kuendelea kubaki ni kubwa zaidi

BAdo mnawawekea picha za vita vya Rwanda au ndo maana mnapitisha vindege vya jeshi kuwaogopesha watu wa vijijini!??
 
Wamenikwaza sana acha tu...

Huna sababu ya kukwazika ila wengi tumejifunza.Hata wale watakao gombea na kufanya vizuri miaka ijayo ni bora kuwaingiza kwenye vyama vingine maana huko hakuna maana zaidi ya kuhongwa pesa ndogo na kuuza Utaifa wako.
 
mkuu asikudanganye mtu "hakuna sehemu hata moja ambayo cuf hawana mgombea , unayoyasema wewe yametokea mtwara na sio rufiji, kilwa, lindi wala luangwa. Kote cuf wameweka wagombea kuanzia ubunge mpaka udiwani.

Kaka kuna bumbuli,mtwara,nanyambaya,mlalo,peramiho...Yapo mengi waliyouza.Ila wapo waliosimamia kidete nia na malengo yO Kina Mtatiro.Lakini mengi yameachw kw nia ya kukomoa Chadema zaidi bila kuzingatia utaifa kwanza
 
Na wanaikomoa kweli

Hivi ni kweli wanaikomoa CDM au watanzania tuliowaamini??Hivi kesho wakija kutaka uongozi ni wale kura yangu??Hakika wamejimaliza wenyewe zaidi kuliko CDM
 
Hivi ni kweli wanaikomoa CDM au watanzania tuliowaamini??Hivi kesho wakija kutaka uongozi ni wale kura yangu??Hakika wamejimaliza wenyewe zaidi kuliko CDM
Kwanini uwapekura! halafu hawatukomoi watanzania kwakuwa hawagombei
 
Kwanini uwapekura! halafu hawatukomoi watanzania kwakuwa hawagombei

Motochini,ninavyojua lengo la msingi siyo Lowassa,lengo la msingi ni wabunge kuwa wengi.Lowassa ni bye the way,tupo njia moja,lakini lengo letu kuu lilikuwa kupata WABUNGE wengi ili hata huyu Mgombea wetu akikosa URAIS basi agenda yetu kuu imekamilika.

Sasa unapoenda kuuza jimbo kwa mahasimu unategemea umemkomoa CHADEMA kweli?Lazima uwe una akili za kupewa na si za kwako.Yaani umekosa uzalendo kabisa,unachukua tumilioni kadhaa unaziona ni pesa unauza UTU duh,hii ipo BONGO tu.Sijawaelewa.Wacha wapotee kwenye uso wa Tanzania,ninahakika wakija kushtuka wamjikomoa wao na chama chao,kwani hakitaaminika tena.
 
Back
Top Bottom