Lowassa: Tutachukua nchi asubuhi

Lowassa: Tutachukua nchi asubuhi

Asiyetaka kuelewa, tusimlazimishe kuelewa, atayaona mwenyewe, muda huo watajidai kusema "tulikuwa pamoja"
 
Maneno matamu sana haya kutoka kwa Lowassa, sasa uko huru hata speech yako jana ilikuwa na afya sana, ulionekana kujiamini hakika tunakwenda pamoja ndani ya ukawa, Chadema tunawashukuru sana kutuletea hili jembe .
 
Mbona mnalumbana kwa kukashifiana ba jameni.Tuache utani na upenzi wa vyama, mwaka huu kwa mara ya kwanza tutakuwa na Uchaguzi mgumu na wenye upinzani wa hali ya juu sana kila ngazi kama zilivyo chaguzi za wenzetu Zambia,Malawi,Kenya,Nigeria,Ghana,USA,UK.Wagombea wamwage sera tuwasikilize.Watu tujitokeze kwa Wingi bila kufanya fujo,Tume itende haki..Rais bora atapatikana mwaka huu 2015 (Nimtaje?).MUNGU IBARIKI TANZANIA
 
Labda kama anazungumzia nchi ya wauza unga na mafisadi hiyo ndiyo saizi yake.

Wauza unga wapo ikulu na mafisadi ya EPA, kagoda,escrow na meremeta yapo ccm yanatapatapa.Fisadi la Richmond limeshatajwa na lowasa likakaa kimya kwa aibu
 
Unapoamka angalia unaelekea wapi kama unaenda na mafisadi nenda kivyako tu wengine tupo na mzalendo magufuli.

Mzalendo awe ccm? ni sawa na malaika kuishi kuzimu
 
Wauza unga wapo ikulu na mafisadi ya EPA, kagoda,escrow na meremeta yapo ccm yanatapatapa.Fisadi la Richmond limeshatajwa na lowasa likakaa kimya kwa aibu

Mkuu umenielimisha hadi nimeamua kuhamia UKAWA, nachana kadi ya mafisadi sasa hivi
 
Saa mbili asubuhi mbali sana, vituo vya kura vikishafunguliwa tu, Tayari LOWASSA ni Rais.
 
Ndio maana JK hasira mtu. OK!


The citizen reports

Yesterday, a visibly angry President
Kikwete said CCM would not be
weakened by their exit. “These are
people who are power hungry and
want to lead this country by all
means to get what they want,” Mr
Kikwete said. “But I want to let them
know that CCM is a strong party and
will remaim that way forever.”

REALLY JK FOREVER? Titanic inazama hiyo.
 
unapoamka angalia unaelekea wapi kama unaenda na mafisadi nenda kivyako tu wengine tupo na mzalendo magufuli.
wewe baki huko huko kwa majizi makuu....watanzania tunataka mabadiliko............
 
Lowassaaa, Ukawaaaa...tushashinda...

Lowassa is just waiting to be sworn in...!!!

Our Next Most loved President Lowassa...!!!

Genius, genius Ukawa..!!!! Mbowe the greatest...!!
 
Raisi wa nchi keshaanza tapatapa baada ya Lowasa kuhamia CDM
 
Hivi kwanini habari za lowassa zinatangazwa adi bbc ila magufuli simsikii?
 
Back
Top Bottom