mchambuzixx
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 1,292
- 946
kwa hali inavyokwenda kwa sasa NEC ina kazi kabwa sana ya kuibeba ccm ...hali ni mbaya mno kwa ccm ...lowasa HASHIKIKI na anafanya kampeni za kistaarabu mnoo ...ccm ina kazi kubwa sana ...hata dola haitafanikiwa kuibeba ccm, ni kazi ngumu sana kuinadi ccm kwenye mikoa inayojitambua...lubuva yupo kwenye wakati mgumu mnooo akisema atende haki ccm inapigwa mapema sana ...haki isipotendeka hii nchi itaelekea kubaya sana na taifa liweza kugawanyika vipande vipande baada ya uchaguzi....ccm wamebaki kudeal na lowasa kila kukicha na kusababisha jina lake kupaaa....magufuli anateswa na yaliyofanywa na viongozi waliopita kuwashawishi wanachi kwa chama kile kile sera zile zile ilani ile ile ikiwa imebadilishwa maneno tuuu