Tume ya Katiba
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 4,896
- 1,866
Mh..............
Hawa ma-suppoter wa ushoga duniani wasituingilie mambo yetu ya ndani. Ndio maana MUGABE alifukuza wote.
Mkuu na wewe unasapoti kuwa mavi ya kale hayanuki????Hawa ma-suppoter wa ushoga duniani wasituingilie mambo yetu ya ndani. Ndio maana MUGABE alifukuza wote.
Flora Lymo aliliwa mlo wa kawaida aliyebaka ni yule Mbunge wa CCM mwenye miaka 60 akachukua kakijana ka miaka 26 na kukalazimisha ndoa.
Jeshi la polisi la Uingereza linaendelea na uchunguzi wake dhidi ya Waziri Mkuu wa zamani wa Tanzania aliyejiuzulu mwaka 2008 kwa tuhuma za ufisadi wa Richmond. Hii imetokana na Lowassa, kupitia mtoto wake, Frederick Lowassa, kununua jumba la kifahari jijini London kwa thamani ya zaidi ya shilingi bilioni 1.2 za Tanzania mwaka mmoja tu baada ya kujiuzulu na kashfa ya Richmond.
Ushahidi wa nyaraka huu hapa:
http://xa.yimg.com/kq/groups/24162323/40324796/name/lowassa-sijui[1].pdf
Flora Lymo aliliwa mlo wa kawaida aliyebaka ni yule Mbunge wa CCM mwenye miaka 60 akachukua kakijana ka miaka 26 na kukalazimisha ndoa.
Jamami, hivi kuwa tajiri ni kosa..??!! Lowasa ni tajiri wa siku nyingi kabla hata ya richmond. Enzi za ujamaa utajiri wake ulimponza akakataliwa kugombea urais wala hakutuhumiwa na UHUJUMU wowote wa mali ya umma aliambiwa "kwenye sera za kijamaa tajiri kama yeye, Lowasa haruhusiwi kuongoza nchi" sasa leo watu wanadanganyana kwamba ameiba pesa ya serikali. Someni historia za wanasiasa jamani. "Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni, jamani."
waingereza hao ndio wenye kufisadisha fully... rada ni kimoja tu kati ya mengi
Wamemaliza uchunguzi dhidi ya GODBLESS Lema kumbaka Flora Lyimo?