Lowassa ni msafi, Lakini kuna kitu hiki...

Lowassa ni msafi, Lakini kuna kitu hiki...

Uzi huu ni wa 2011...na vigeu geu utawajua....waliomponda kupita maelezo humu ndio hao hao wanamsifu kwa mapambio... shikamooo kelele....heshima pesa...

Nyaraka hizi ni siri uliyepost unezitoa wapi? Na umepewa kwa madhumuni yapi? Na kwanini sasa?!
Na mbona majina yaliyopo kwenye nyaraka zako za siri ukijaribu kuwatafuta hao watu mtandaoni unapata vitu vya ajabu ajabu? Jaribu kumtafuta GEORGE SIMPSONS kwenye mtandao.....naomba wachangiaji tusikurupuke kujudge haraka! Lowasa might be fisadi lakini je, waliouficha ufisadi walikuwa na nia njema?
 
Poa ila mi nishahama goli sasa hivi kipindi cha pili. Nazuia kwenye lile goli nilokuwa nashambulia kipindi cha kwanza...

Nshakusoma..ndio maana napigwa na butwaa...kumbe uko well informed lakini umeamua kumpigania...nsichojua ni kipi kimekufanya u change....

mimi sikuwai kuona huu uzi lakini sitakaa nimsuport....sababu niliyosikia toka vinywa na machapisho ya CDM yatosha....hata kama walikuwa wanaongea kwa selfish interests siwezi badili msimamo....
 
Nshakusoma..ndio maana napigwa na butwaa...kumbe uko well informed lakini umeamua kumpigania...nsichojua ni kipi kimekufanya u change....

mimi sikuwai kuona huu uzi lakini sitakaa nimsuport....sababu niliyosikia toka vinywa na machapisho ya CDM yatosha....hata kama walikuwa wanaongea kwa selfish interests siwezi badili msimamo....

Na nini kimekufanya ukabadilika? Ukaacha kuwasikiliza tena CHADEMA kwa sasa?
 
Na nini kimekufanya ukabadilika? Ukaacha kuwasikiliza tena CHADEMA kwa sasa?
Sioni tena utofauti wao na CCM...nawaunga mkono CCM kumaliza hasira zangu...si kwamba nawapenda...
Watampaje EL nafasi ya kugombea urais?????????
 
Sioni tena utofauti wao na CCM...nawaunga mkono CCM kumaliza hasira zangu...si kwamba nawapenda...
Watampaje EL nafasi ya kugombea urais?????????

Kumbe mi na wewe kila mtu amekeep msimamo wake. Mi nimebaki na msimamo wa kuiamini CHADEMA, wewe umebaki na msimamo wa kumpinga Lowassa
 
nenda baraza la maadili ukahakiki taarifa za mali na madeni ya lowassa ndio uje useme kuwa lowassa ni mmiliki wa barare
Mkuu wangu wewe hujasoma nyaraka za Invisible, kuna nyarakamoja inaonyesha usajili wa Barare na wenye hisa ni Lowassa na mke wake wakiwana hisa 500 kila mmoja. Nyaraka nyingine ni Intergrated Property Limited kuigawia Barare hisa.

Usiwe mvivu wa kusoma hizo nyaraka mkuu wangu.
 
Sioni tena utofauti wao na CCM...nawaunga mkono CCM kumaliza hasira zangu...si kwamba nawapenda...
Watampaje EL nafasi ya kugombea urais?????????

YES; Pamoja sana

CCM walimwaga ugali, EL akamwaga mboga, Dr.:laser: kapindua meza.
mimi kama wewe ''HAPA KAZI TU''
 
Back
Top Bottom