Gsana
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 4,383
- 1,340
Waingereza bwana hawana lolote!, ni kama wanga wanga fulani, type ya mijibwa koko kazi yake kubweka bweka tuu lakini haing'ati!. Kama mijizi ilitia kibindoni chaa juu kwenye Rada, na wakashindwa kufanya chochote zaidi ya kutubwekea hapa na kuwachafulia tuu majina watu wetu safi, kwenye hili ndio watafanya nini?!.
Ama kweli, "a barking dog seldom bite!", hivi kweli mnaweza kuulinganisha ufisadi wa Eddo na wa yule aliyefanya biashara ikulu?, jee mnajua Richmond ni dili ya nani haswa?, na jee mnajua umeme umepanda bei kumlipa ile tozo ya Dowans?, enfdeleeni kumdhania ni Eddo, mtakampomjua rasmi ni nani!, mtabaki midomo wazi!.
CCM wote ni wachafu, msafi wao ndio Eddo!.
Pasco
paso pasco, unawasema wote wachafu?pasco pasco, kaa usome maandiko yako ya kale uone unavowasifia chama cha wachafu!