ugolo wa bibi
JF-Expert Member
- Jul 16, 2012
- 1,305
- 302
lowasa bado yupo kwenye siasa! yule ni hafai hata kuwa diwani tu!
Kwa wale ambao watakuwa wamepitwa na haya madudu...
si kwamba watu hawajui, wanajua Watanzania wameshasahauMkuu si kwa wale waliopitwa tu.
Umefanya vizuri na hii ni kwa faida ya Werema, Hosea na Jk.
Wakati wa kuleta Ripoti mbele ya Bunge huko mwakani wasije sema hili nalo hawakuliona kwa hiyo wapewe muda tena wakalifanyie kazi.Hoja ya Mhe.Zitto kama sikosei imezungumzia haya mambo kwa upana wake kwa hiyo hili nalo nategemea litapata jibu kama pesa hizi za kununulia Jumba London ni halali au si halali !
Lowassa anafaa sana sana acheni wivu wa kike!
braza hapo naona umeteleza kidogo,document zinasema aliyezaliwa mwanza ni freddy lowasa na sio edward lowasaSasa Lowasa mbona anajidai mmasai huku anasema kazaliwa mwanza??!!!
AU NDO MAMBO YA UONGO ILI AWEZE KUTUCHANGANYA VIZURI??
Hao wana laani ya nyerere