Halisi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2007
- 2,802
- 617
Nimejaribu kuwaambia wapambe wa EL Kuwa,kama wanamtakia mema EL,Ni vyema wasitoe matusi na maneno ya kejeli pale ambapo watanzania wanataka kujua ukweli wa kile kinachoongelewa.gizani,Badala yake wajibu hoja.Ni ukweli usiopingika kuwa,Edward Ngoyai Lowasa anatakiwa kujibu maswali ya watanzania ambao wanataka kujua ukweli.Wapambe wake wanamdanganya sanaaaa tu.........Lowasa pls..TAFAKARI UPYA!!!!!!!!!!!!!!!1
sina chama na wala simuungi mkono mwanasiasa yeyote ila naona siasa za ccm zinapoteza mwelekeo kwa kasi
Hii ngoma ya zamani sana Edward Elowassa Ndossy alifikiri watu wamesahau.
Anawashwa nimeshambia lakini hasikii sijui nimfanyeje.