Lowassa ndani ya Monduli, ajiandikisha BVR

Lowassa ndani ya Monduli, ajiandikisha BVR

Jk yule dingi kanifurahisha sana kulikata hili dubwasha.
 
Unaona eeh!?
naamini sn ipo siku atafunguka!!
Japo siipendi ccm ,lkn kwa hili nashawishika kujiuliza,/kufuatilia kuna nani hapa!!!?

Mkuu hapo kuna jambo kubwa tu la kkujihami na nina uhakika hao wakubwa wata hakikisha kuwa lowasa hapati jukwaa la kueleza ukweli wa mambo yalivyokuwa na yanavyoenda ndani ya serikali
 
samahani kuuliza si ujinga hawa ni wapambe au mabodigadi

au ndo wafadhili; naona miili yao imeiva; imekuwaje kutoka uwanja wa ndege bila kuongea na Radio yake Radio 5
IS IT TRUE



attachment.php
 
Itakuwa pia kwa kuwa mbichi na mbivu zitajulikana. Wa kufungwa hapa hapa na wale wa kwenda kwa Fatou Bensouda.

Yule mama anatisha kweli kamg'ang'ania Ruto hadi anajuta kuingia kwenye siasa
 
He was the only one wa ku end matatzo yote nchini simply cz uwezo na nguvu husika anayo. Wananchi wengi hawajui analyse vitu strategically. There is a lot going on behind the scenes in Tanzanian Politics.
JPM kawekwa tu pale....mtaniambia.

Huo ndio ukweli mkuu
 
Mkuu hapo kuna jambo kubwa tu la kkujihami na nina uhakika hao wakubwa wata hakikisha kuwa lowasa hapati jukwaa la kueleza ukweli wa mambo yalivyokuwa na yanavyoenda ndani ya serikali

Mkuu acha kupoteza muda
jukwaa keshalipata kitambo
CDM usiwe kama mtoto mdogo
If u dont know kaa kimya
subiri wenye akili watakuambia
Kama kweli mna ubavu tutangazieni
jina la mgombea?kwi kwi njaa
mbaya sana Kamuulizeni Yuda Eskariote
kilichomkuta na sasa kinafanyika CDM
MSIWE WATOTO WADOGO KUDANGANYIWA PIPI??
 
Bora uwe mkweli tu Field UKAWA,
Huyo ndiye Mmawia
ni wale Bavucha wenye hasira za papo kwa papo
walipoambiwa Lowassa katua kwao wamenywea na pichu zinagongwa na haja
yaani hata msemaji wa UKWA Tumani Makene hasikiki tena story ya Monduli na 50Bn waliyopokewa waasisi wa CDM
yaani wamelowa waangalie wanapowasili Monduli sio zile shamrashamra za kutukana CCM km kawaida yao

attachment.php
 
Last edited by a moderator:
Siamini macho yangu kama leo kweli tunaenda ichukuwa monduli live kwa cdm,mamvi anahamia cdm?????????nikweli au naota,tunakwenda kuchukuwa hii nchi asubuh na mapemaaaaaaa

Hiyo ndiyo siasa mkuu
 
Makombora ya el nayapata sana,sina shaka naye,kama kweli atapeperusha bendera ya ukawa ccm miguu chali,japo tunapaswa kujipanga kulinda kura manake wanategemea jeshi la polisi kufanya vurugu

Mkuu hata hao polis wengi wao wameshachoshwa na hali inavyoenda ndani ya nchi,hivyo husitegemee polis waibebe sana ccm
 
Hiyo ndiyo siasa mkuu

Kwi kwi kwi
CCM NI ILE ILE?????:violin::violin::violin::drum::drum::drum::majani7::majani7::majani7:

Wapinzani ni wale wale oooooo ni wale wale
toka 1995 -2015

1. Lipumba
2 Mbowe
3.Mbatia
4. Dr.Slaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom