Lowassa ndani ya Monduli, ajiandikisha BVR

Lowassa ndani ya Monduli, ajiandikisha BVR

He was the only one wa ku end matatzo yote nchini simply cz uwezo na nguvu husika anayo. Wananchi wengi hawajui analyse vitu strategically. There is a lot going on behind the scenes in Tanzanian Politics.
JPM kawekwa tu pale....mtaniambia.

Uko sahihi!!
Ht wanaosema cjui jembe naona hawajui kuwa lzm afuate ilani ya chama!
Akitaka kutoka nje,lzm wamrudishe kwenye mstari!!
 
Huyo ndiye Mmawia
ni wale Bavucha wenye hasira za papo kwa papo
walipoambiwa Lowassa katua kwao wamenywea na pichu zinagongwa na haja
yaani hata msemaji wa UKWA Tumani Makene hasikiki tena story ya Monduli na 50Bn waliyopokewa waasisi wa CDM
yaani wamelowa waangalie wanapowasili Monduli sio zile shamrashamra za kutukana CCM km kawaida yao

attachment.php


Teh teh teh Mmawia kwishaaaaa!sasa hivi akili yake imeanza kukaa sawa viroba vinaishiwa nguvu!
 
Dhaifu anataka kutuachia ushuzi ikuru.Mzee wa piga mbizi hatumtaki
 
Huyo ndiye Mmawia
ni wale Bavucha wenye hasira za papo kwa papo
walipoambiwa Lowassa katua kwao wamenywea na pichu zinagongwa na haja
yaani hata msemaji wa UKWA Tumani Makene hasikiki tena story ya Monduli na 50Bn waliyopokewa waasisi wa CDM
yaani wamelowa waangalie wanapowasili Monduli sio zile shamrashamra za kutukana CCM km kawaida yao

attachment.php
Huyo pembeni ya pikipiki za makamanda ni simba au mbwa?
 
Last edited by a moderator:
Siasa hizi daaa!!! Kamanda si wewe tu juzi ulikuwa unamuita Lowassa fisadi?

Mkuu naomba uwe wazi,hivi huo ufisadi wa lowasa ndio leo wana ccm wanauona?ilikuwaje hawakumvua uanachama wake tangu ilipobainika kuwa lowasa ni fisadi?ina maana ccm ni chaka la kulea mafisadi?
 
Uko sahihi!!
Ht wanaosema cjui jembe naona hawajui kuwa lzm afuate ilani ya chama!
Akitaka kutoka nje,lzm wamrudishe kwenye mstari!!

Makofuli kama atafanikiwa kuchaguliwa kuwa rais basi atakuwa pale kama sanamu tu kwani kuna remote ya kumuelekeza nini cha kufanya.
 
Mkuu naomba uwe wazi,hivi huo ufisadi wa lowasa ndio leo wana ccm wanauona?ilikuwaje hawakumvua uanachama wake tangu ilipobainika kuwa lowasa ni fisadi?ina maana ccm ni chaka la kulea mafisadi?

Kamuulize babu yako ile list ya Mwembe Yanga aliipata wapi? Na leo imekuwaje?kama sio yeye aliyetoa maneno yale afute kauli yake maana yeye na genge lake wanakula Ma..t ...p ...shi Yao!
 
Makofuli kama atafanikiwa kuchaguliwa kuwa rais basi atakuwa pale kama sanamu tu kwani kuna remote ya kumuelekeza nini cha kufanya.

teh teh teh teh tunataka jina la mgombea wenu kwanza mmeahirisha mara kibao kuna nini?Nani kashika Remote ya UKAWA??
 
Mkuu naomba uwe wazi,hivi huo ufisadi wa lowasa ndio leo wana ccm wanauona?ilikuwaje hawakumvua uanachama wake tangu ilipobainika kuwa lowasa ni fisadi?ina maana ccm ni chaka la kulea mafisadi?
Wanaosema Lowassa ni fisadi ni nyie Chadema unakumbuka Dr.Slaa orodha yake ya mafisadi Lowassa yupo.

CCM wamemkata Lowassa siyo sababu ya ufisadi wamekatwa wengi tu na wana CCM wenyewe wakamchagua Dr.Magufuli.
 
samahani kuuliza si ujinga hawa ni wapambe au mabodigadi

au ndo wafadhili; naona miili yao imeiva; imekuwaje kutoka uwanja wa ndege bila kuongea na Radio yake Radio 5
IS IT TRUE



attachment.php
Huyo aliesimama pembeni ya Mama Lowasa nadhani ni Goodluck Ole-Medeye
 
Safari hii tunataka apatikane rais atakayeingia ikulu bila matumizi makubwa ya hela.

Wanaotumia hela nyingi kuingia ikulu wanafanya madudu kurudisha hela zao na za wapambe wao
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom