let's wait and see
Wapo wapi wale aliokua akiandamana nao na kumshangilia wapi wale waliokua wakiimba na kumfananisha na mitume
Duu hayo macho yako yana kasoro
Mkuu ulitaka aende nao nyumbani kwake monduli?
Lowassa ahame ccm tu.
Hivi si walisema kwake Dar amezingirwa hakuna kutoka amepitaje au ulikuwa ni uvumi tu
Sasa cdm na Lowassa wapi na wapi?aisee
Sasa mbona hajavaa manguo yao ya kijani1? Hizi siasa za midomoni zitazidi kutuua, tukishindwa kuiangusha ccm 2015 itatuchukua muda zaidi!
Muandishi upo eneo la tukio kweli..mbona mitandao inasoma upo Millenium Tower?