Lowassa ndani ya Monduli, ajiandikisha BVR

Lowassa ndani ya Monduli, ajiandikisha BVR

Chezea JK wewe, kazuia mafuriko na mkono! Hapana chezea Kikwete.:yo: ha ha ha.
 
Anasubiri nini?aingie upinzani tuu apambane wengi wapo nyuma yake,siasa zinahitaji ujasiri hakuna mtu atakuletea ushindi mezani,na kama nyerere mwanzilishi wa CCM aliwahi kusema CCM siyo mama yangu Lowasa anaogopa nini? na akiingia upinzani is a win win ila akibaki CCM legacy yake itabaki Richmond na KUKATWA.

Thubutu yake siku anaingiza mguu kwa upinzani richmond inafunguliwa upya kabisa (Richard Monduli) kwa uhakika zaidi na atakwenda kuungana na Basili na Daniel mara moja kabla hata ya uchaguzi! Hapa cha msingi atuletee Balali hai basi mchezo wote uishe!
La msingi apumzike tuu huko kwao alime na kufuga ng'ombe wa maziwa!
 
Samaki ni mjanja sana anapokuwa kwenye maji, mtoe ndani ya maji uone. Lowassa ni kama samaki na ccm ni kama maji. Hawezi toka ccm, akitoka amekwisha. Lazima awe mpole tena sana.

Tupatie sababu za kutushawishi tukubali hoja yako mkuu
 
Sasa mbona hajavaa manguo yao ya kijani1? Hizi siasa za midomoni zitazidi kutuua, tukishindwa kuiangusha ccm 2015 itatuchukua muda zaidi!


Zile ni za kwenye field mkuu
 
Kweli Lowassa anapendwa sana. Nimeona kwenye picha mpaka mbwa wamekwenda kumlaki. Inauma sana! Watu wengi wana hasira!
 
karibu sana mzee wetu tamka neno moja tu kuwa umejivua gamba watanzania tutakuenzi milele tulitokwa na machozi kwa pamoja na tutafurahi kwa pamoja nguvu ya umma tutakuwa na wewe kila mahala ulipo !! tunasuburi sana kwa hamu neno lako moja tu. ili mafisadi wanao zani wao tanzania ni yao wapate fundisho kwao na kwa vibaraka wao na itakuwa ni uridhi mzuri kwetu kwamba wana nchi wanatakiwa waheshimiwe zaidi ya viongozi na familia zao !!
tunazubiri neno moja tu mzee wetu!!!
 
Nilishakukataza Ku QUOTE post zangu,lkn bado tu unakuwa kama malaya anaye tafuta bwana kwa nguvu,sikuhitaji,sitaki

Sasa nani kakutuma unijibi kama hutaki chati zangu teh teh endeleeni kumsubiri Laigwanani!UKAWA kwishaaa mnqpumulia mipira ya carbon!
 
Thubutu yake siku anaingiza mguu kwa upinzani richmond inafunguliwa upya kabisa (Richard Monduli) kwa uhakika zaidi na atakwenda kuungana na Basili na Daniel mara moja kabla hata ya uchaguzi! Hapa cha msingi atuletee Balali hai basi mchezo wote uishe!
La msingi apumzike tuu huko kwao alime na kufuga ng'ombe wa maziwa!

Yeye alishakwambis kuwa alichokuwa anafanya ni kwa maelekezo ya mwenye nyumba
 
Tupatie sababu za kutushawishi tukubali hoja yako mkuu

Wewe haujulikani, wala haina sababu ya kukushawishi maana chama sio chako!Wahusika ni Mbowe,Lisu,Mzee Tei na Dk. silaa wengine mavuvuzela tu, na hao wameshawekwa mfukoni teh teh feh kwisha kazi!
 
Huyu mzee angeleta mabadikiko makubwa sanaa basi tu. Ana nguvu sana, tatzo wamem neutralize in a very strategic way.

Unaona eeh!?
naamini sn ipo siku atafunguka!!
Japo siipendi ccm ,lkn kwa hili nashawishika kujiuliza,/kufuatilia kuna nani hapa!!!?
 
Unaona eeh!?
naamini sn ipo siku atafunguka!!
Japo siipendi ccm ,lkn kwa hili nashawishika kujiuliza,/kufuatilia kuna nani hapa!!!?

He was the only one wa ku end matatzo yote nchini simply cz uwezo na nguvu husika anayo. Wananchi wengi hawajui analyse vitu strategically. There is a lot going on behind the scenes in Tanzanian Politics.
JPM kawekwa tu pale....mtaniambia.
 
Thubutu yake siku anaingiza mguu kwa upinzani richmond inafunguliwa upya kabisa (Richard Monduli) kwa uhakika zaidi na atakwenda kuungana na Basili na Daniel mara moja kabla hata ya uchaguzi! Hapa cha msingi atuletee Balali hai basi mchezo wote uishe!
La msingi apumzike tuu huko kwao alime na kufuga ng'ombe wa maziwa!

Itakuwa pia kwa kuwa mbichi na mbivu zitajulikana. Wa kufungwa hapa hapa na wale wa kwenda kwa Fatou Bensouda.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom