Lowassa ndani ya Monduli, ajiandikisha BVR

Lowassa ndani ya Monduli, ajiandikisha BVR

LOWASA alikua LULU na bado ataendelea kuwika, ikiwa anafuatiliwa kila kona, kutaka kujua anaongeaje, mwacheni, akalime
 
Huyu mzee angeleta mabadikiko makubwa sanaa basi tu. Ana nguvu sana, tatzo wamem neutralize in a very strategic way.

ila bado ana nafasi..akabishe hodi ukawa..ataibwaga sisiem kwa kishindo...! poor him
 
Haya majitu yanafanya nikose Imani na Lowasa
Karamagi,Rostam,Tibaijuka,Kingunge,Chenge,Manji nk hawa sio watu wazuri
 
ila bado ana nafasi..akabishe hodi ukawa..ataibwaga sisiem kwa kishindo...! poor him

Nop...its not a wise move.
His hands are tied. Akifanya hvyo ata lost as in ana uroho wa madaraka na CCM ikipita tena hamna rangi ataacha ona.

Wakae waongee na Pombe wajue hasara wana i recover vipi basi. Let it GO.
 
wamemuacha peke yake

attachment.php
 
Huyu mzee angeleta mabadikiko makubwa sanaa basi tu. Ana nguvu sana, tatzo wamem neutralize in a very strategic way.

Pamoja mkuu,hata uwezo kiutendaji,ccm nzima hakuna kama Lowasa,huyo mapadlock ameiga tu
 
Mzee EL ni ccm damu na nitastaajabu sana iwapo atahama chama chake alichokitumikia tangu ujana wake.
Kilichomtokea yeye ni mapito ya siasa tu.
 
Hivi kwani lazima Lowassa awe rais?
Hivi kwanini Lowassa anauhitaji sana urais?
Hivi kwanini kama yeye ni mwana CCM basi asimsupport aliyeteuliwa na chama chao?
Hivi kwanini Lowassa asifanye maamuzi magumu ya kuachana kabisa na haya mambo ya siasa? Hasa ukizingatia yeye ni miongoni mwa wanasiasa wakongwe na wenye mali nyingi.
Nini hasa mheshimiwa anakihitaji kwenye mbio hizi za urais?
Haya ni baadhi tu ya maswali ambayo mi binafsi yananitia shaka juu ya mheshimiwa Lowassa.
 
Hivi kwani lazima Lowassa awe rais?
Hivi kwanini Lowassa anauhitaji sana urais?
Hivi kwanini kama yeye ni mwana CCM basi asimsupport aliyeteuliwa na chama chao?
Hivi kwanini Lowassa asifanye maamuzi magumu ya kuachana kabisa na haya mambo ya siasa? Hasa ukizingatia yeye ni miongoni mwa wanasiasa wakongwe na wenye mali nyingi.
Nini hasa mheshimiwa anakihitaji kwenye mbio hizi za urais?
Haya ni baadhi tu ya maswali ambayo mi binafsi yananitia shaka juu ya mheshimiwa Lowassa.

Bila siasa watawala wote ndani ya CCM ni sawa na samaki nje ya maji. Hawawezi mikiki mikiki ya maisha
 
Wapo wapi wale aliokua akiandamana nao na kumshangilia wapi wale waliokua wakiimba na kumfananisha na mitume

Kwenye RED, Jana wakati naangalia TV ndo nilichoka kabisa timu yake yote ya Dar ilikuwa pale ikishindana kumshangilia Magufuli, yaani we acha tu. hata yule alomfananisha na Mtume alikuwepo akishangilia yaani hadi jino lake la 33 nililiona jana. Kweli sisi binadamu vinyonga, na unaweza toswa ndani ya muda mfupi tu. Ila Sophia Simba yeye sikumuona pale
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom