Jihan
Senior Member
- Jul 11, 2015
- 146
- 68
Shelehe ya magufuli kalibu inaingia dosali
Sio karibia mkuu, ishaingia dosari maana zile mbwembwe zimeisha na kiukweli hashtui kihivyo.
Shelehe ya magufuli kalibu inaingia dosali
Hatuishi kwa kuogopa,tumeanza na Mungu na tutamaliza na Mungu,macho yote ya jumuiya ya kimataifa yatakuwa Tz
Hahahaha pole sanaaaaaaaaa....
Kwa usalama wake abakie hukohuko ccm,maana akitoka harafu wakubwa wake waone mambo yanawaendea kombo lazima tu watam-KOLIMBA au pia wanaweza kum-MWANGOKA.
Ndugu EL katua jimboni kwake kujiandikisha kupiga kura Jana 15.07.15. Naona jimbo linaenda cdm kwa sababu msafara wake umepokelewa na bendera za chama hicho. Hakuongea chochote zaidi ya kusema endeleeni kuwa na imani na chama chenu kisha kuingia kwenye gari na kuondoka na kuwaacha watu wakiimba peoples power.
Makombora ya el nayapata sana,sina shaka naye,kama kweli atapeperusha bendera ya ukawa ccm miguu chali,japo tunapaswa kujipanga kulinda kura manake wanategemea jeshi la polisi kufanya vurugu
Kwa sababu waliompokea ni vijana wa cdm, maana yake kuwaambia wawe na imani na chama chao ni kuwa wawe na imani na cdm.Alimaanisha nini,,?
wawe na imani na chama kilichompokea au kile kilichompiga chini,,?
Usicho kijua ni Usiku wa kiza. Hakuna anae jua Kati ya magufuli na lowasa nani angeleta mabadiliko, maisha magumu now.
Ina maana yeye hayumo kwenye chama au?... ufafanuzi jamani!Ndugu EL katua jimboni kwake kujiandikisha kupiga kura Jana 15.07.15. Naona jimbo linaenda cdm kwa sababu msafara wake umepokelewa na bendera za chama hicho. Hakuongea chochote zaidi ya kusema endeleeni kuwa na imani na chama chenu kisha kuingia kwenye gari na kuondoka na kuwaacha watu wakiimba peoples power.
Ndugu EL katua jimboni kwake kujiandikisha kupiga kura Jana 15.07.15. Naona jimbo linaenda cdm kwa sababu msafara wake umepokelewa na bendera za chama hicho. Hakuongea chochote zaidi ya kusema endeleeni kuwa na imani na chama chenu kisha kuingia kwenye gari na kuondoka na kuwaacha watu wakiimba peoples power.
Lowassa ahame ccm tu.
Mkuu BRAND,
Hizo picha ni dalili mbaya sana kwa ccm mkoa wa Arusha. Kama wanataka kupona ni bora wakamsikiliza Mzee Kingunge alichowaambia leo. Wakidharau watakipata cha mtema kuni.. Hakuna cha Tingatinga wa Ninganinga.. Watapwerepwetwa vibaya sana.
BACK TANGANYIKA