born to win
JF-Expert Member
- Jun 21, 2015
- 561
- 168
Aende ACT au TADEA, wanachama wa CHADEMA hatumtaki ameshanuka HAFAI!
Wewe ni mwanachama au shabiki na usipende kusemea nafsi za wengine sema mm simtaki cyo hatumtaki unajuaje mawazo ya wengine
Aende ACT au TADEA, wanachama wa CHADEMA hatumtaki ameshanuka HAFAI!
Haya majitu yanafanya nikose Imani na Lowasa
Karamagi,Rostam,Tibaijuka,Kingunge,Chenge,Manji nk hawa sio watu wazuri
Lowassa ahame ccm tu.
Unaakili sana kijana uliyeka comment hii
Aende ACT au TADEA, wanachama wa CHADEMA hatumtaki ameshanuka HAFAI!
Nop...its not a wise move.
His hands are tied. Akifanya hvyo ata lost as in ana uroho wa madaraka na CCM ikipita tena hamna rangi ataacha ona.
Wakae waongee na Pombe wajue hasara wana i recover vipi basi. Let it GO.
Sasa hapa Mbowe yuko wapi?Muulize Mbowe
Mkuu hiyo NK hukuiona?mbona mengi hukumuweka au ndio mahaba niue