Anne Makinda, membe, Lowassa, Sitta Dk.Salim, Mwandosya Dk.Slaa, Prof.Lipumba, Dk.Migiro, Sumaye, Zitto, Magufuli.
1.Je? Raisi atatoka katika kundi hili?
2.Kuna ambaye kati ya hawa unaona anasifa za kuwa raisi?
3.wewe ungepewa nafasi ya kupendekeza ungemchagua nani kati ya hawa?
Anne Makinda, membe, Lowassa, Sitta Dk.Salim, Mwandosya Dk.Slaa, Prof.Lipumba, Dk.Migiro, Sumaye, Zitto, Magufuli.
1.Je? Raisi atatoka katika kundi hili?
2.Kuna ambaye kati ya hawa unaona anasifa za kuwa raisi?
3.wewe ungepewa nafasi ya kupendekeza ungemchagua nani kati ya hawa?
Dr.salim yupo poa sana
tatizo lake ni hili la kupora wake za watu
for obvious reasons nisingemchagua dr salim, prof lipumba wala zitto
Anne Makinda, membe, Lowassa, Sitta Dk.Salim, Mwandosya Dk.Slaa, Prof.Lipumba, Dk.Migiro, Sumaye, Zitto, Magufuli.
1.Je? Raisi atatoka katika kundi hili?
2.Kuna ambaye kati ya hawa unaona anasifa za kuwa raisi?
3.wewe ungepewa nafasi ya kupendekeza ungemchagua nani kati ya hawa?
Kaka,
Napata shida moja. Unasema hawa watatu hawafai. Ninavyofahamu mimi kwanza hawa watatu hawajasema watagombea, wanahisiwa tu. Aidha huendi mbele kutaja basi nani anafaa hata huko nje ya CCM. Mie kwa maoni yangu, suala zima la kugombea urais ni premature halafu tumejifunga sana kwenye majina machache ndani na nje ya ccm. Inawezekana baadhi ya majina ya ccm yasifae, lakini majina yanayotajwa chadema yaani mbowe na slaa pia hawafai. Kwa maneno mepesi, kwa kufuata hoja yako tunaweza kusema kuwa hatuna wagombea 2015i........!
T2015ccm akili unayo lakini akili yako haina akili, ninashaka akili yako ni sawa na ya wale waliochoma Makanisa kule Mbagala na kuua Police kule Zanzibar watu kama nyie hamuitakii nchi hii mema at all.