Lowassa, Membe and Sitta: Unfit to Lead, Unprepared to Command

Lowassa, Membe and Sitta: Unfit to Lead, Unprepared to Command

Annemakinda membe lowassa sitta dk.salim mwandosya dk.slaa prof.lipumba dk.migiro sumaye zitto magufuli.

1.Je? Raisi atatoka katika kundi hili?
2.Kuna ambaye kati ya hawa unaona anasifa za kuwa raisi?
3.wewe ungepewa nafasi ya kupendekeza ungemchagua nani kati ya hawa?

for obvious reasons nisingemchagua dr salim, prof lipumba wala zitto
 
Annemakinda membe lowassa sitta dk.salim mwandosya dk.slaa prof.lipumba dk.migiro sumaye zitto magufuli.

1.Je? Raisi atatoka katika kundi hili?
2.Kuna ambaye kati ya hawa unaona anasifa za kuwa raisi?
3.wewe ungepewa nafasi ya kupendekeza ungemchagua nani kati ya hawa?


Kwenye list ya CCM; yuko Dr. Salim Ahmed Salim kwenye URAIS? OH WOW Haya Now
 
Annemakinda membe lowassa sitta dk.salim mwandosya dk.slaa prof.lipumba dk.migiro sumaye zitto magufuli.

1.Je? Raisi atatoka katika kundi hili?
2.Kuna ambaye kati ya hawa unaona anasifa za kuwa raisi?
3.wewe ungepewa nafasi ya kupendekeza ungemchagua nani kati ya hawa?

Nimeona ni ku Quote moja kwa moja hapa bila ya kumumunya ni kwamba Ni Dr Willbroad Peter Slaa, kwa Tanzania ya leo hakuna kiongozi ambaye ana historia kama huyu Mh Dr(PHD) Slaa ametoa mchango mkubwa saba kwa Taifa hili hana budi kuwa Rais japokuwa wengi bado ni Rais mioyoni mwetu na pia ndio unatoa oda zote ambazo serikali inatekeleza nafahamu wengi mtakuwa may be against me lakini ukweli ndio huo ndio maana nikasema bila kumumunya.
Hakuna mwingine zaidi ya Dr Willbroad Peter Slaa finish
 
Nimeona ni ku Quote moja kwa moja hapa bila ya kumumunya ni kwamba Ni Dr Willbroad Peter Slaa, kwa Tanzania ya leo hakuna kiongozi ambaye ana historia kama huyu Mh Dr(PHD) Slaa ametoa mchango mkubwa saba kwa Taifa hili hana budi kuwa Rais japokuwa wengi bado ni Rais mioyoni mwetu na pia ndio unatoa oda zote ambazo serikali inatekeleza nafahamu wengi mtakuwa may be against me lakini ukweli ndio huo ndio maana nikasema bila kumumunya.
Hakuna mwingine zaidi ya Dr Willbroad Peter Slaa finish

tatizo lake ni hili la umalaya na kupora wake za watu
 
Nimeona ni ku Quote moja kwa moja hapa bila ya kumumunya ni kwamba Ni Dr Willbroad Peter Slaa, kwa Tanzania ya leo hakuna kiongozi ambaye ana historia kama huyu Mh Dr(PHD) Slaa ametoa mchango mkubwa saba kwa Taifa hili hana budi kuwa Rais japokuwa wengi bado ni Rais mioyoni mwetu na pia ndio unatoa oda zote ambazo serikali inatekeleza nafahamu wengi mtakuwa may be against me lakini ukweli ndio huo ndio maana nikasema bila kumumunya.
Hakuna mwingine zaidi ya Dr Willbroad Peter Slaa finish

tatizo lake ni hili la kupora wake za watu
 
pongezi kwako mtoa mada, 1, rais ajae wa tanzania anaweza kutoka ktk kundi hilo, au sehemu nyingine sifa kuu ni Utanzania mtu alionao. 2,ktk hao uliowaweka binafsi napata kigugumizi ktk uteuzi, endapo EL atagombea na DR Salim ntamuomba Mungu ampe busara zaidi EL ampishe jamaa atuongoze kwani kwa wote waliobaki hawana sifa za utendaji bora wa kuigwa kama EL huyu ni Mwanasiasa, mkulima,mfanyabiashara , mfugaji na mwanadiplomasia kwani ameweza kutumia fursa alizonazo kujiinua kikipato kiasi cha kuonewa wivu na washindani wake, ambao wanashindwa kutoa ushahidi kwa umma na kusadikisha watu kwa hisia. moja ya makosa makubwa aliyofanya JK ni kushindwa kumpisha DR SALIM wakati wa uteuzi wa kugombea 2005. 3. kura yangu naitega kwa DR SALIM AU EL
 
Kama ikishindikana kwa CCM kuachia madaraka, ni heri tusiwe na serikali, kama somalia imeweza kwa 20yrs, kwa nini tusijaribu hilo kuliko kutawaliwa na CCM miaka mingine 5? Napigia kura mabadiliko, kwa sasa ni Slaa akifuatiwa na Lipumba
 
Anne Makinda, membe, Lowassa, Sitta Dk.Salim, Mwandosya Dk.Slaa, Prof.Lipumba, Dk.Migiro, Sumaye, Zitto, Magufuli.

1.Je? Raisi atatoka katika kundi hili?
2.Kuna ambaye kati ya hawa unaona anasifa za kuwa raisi?
3.wewe ungepewa nafasi ya kupendekeza ungemchagua nani kati ya hawa?

1. I don't care 2.Mwenye sifa ya urais ni Wilbrod Slaa 3.Ningempendekeza Slaa
 
Back
Top Bottom