GHIBUU
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 4,432
- 3,016
Nimeshawachinjaaaa!
Nimechukua na kuweka kwa Lowassa,Kubenea na diwani wa CUF.
Kiss 😘
Nimeshawachinjaaaa!
Nimechukua na kuweka kwa Lowassa,Kubenea na diwani wa CUF.
umejaa hewa
Tukiwashindwa mwaka huu basi.
Kwa walioangalia itv walishuhudia alimwomba msimamizi amsaidie kukunja hata karatasi aliibeba kwa shida. Ila mke wake ameweza kukunja vizuri bila kusaidiwa.
Ibada ya MAKUFURI ilikuwa ndefu ndio anapiga kura sasa, Ama kweli nyota njema...... utamalizia mwenyewe.Kama inavyosisitizwa na watu mbalimbali kuchagua mgombea mcha MUNGU. Leo Lowassa kaanza kwanza kwenda kusali kanisani na sasa yuko kituoni na mkewe kwa ajili ya kupiga kura
Ee Mungu tusikie kilio chetu utupe Lowassa Baba
Binafsi nimeshakata Lowassa!
Nashangaa eti TBC wanaonesha katuni
Yaani hata Aljazeera wanafatilia zaidi habari za Lowassa! Yaani leo asubuhi wameonyesha kidogo Magufuli akiwa barabarani lakini wakabakia kwenye nyomi ya jangwani jana! Intrest ya internation inaonekana Lowassa