Nimeshawachinjaaaa!
Nimechukua na kuweka kwa Lowassa,Kubenea na diwani wa CUF.
Nimeshawachinjaaaa!
Nimechukua na kuweka kwa Lowassa,Kubenea na diwani wa CUF.
Nimepata taarifa kuwa kuna uwezekano wa kupiga kura hata ukiwa mahali ambapo hukujiandikishia kupiga kura,eti kuna fomu maalumu ya kujaza,naomba kupata uhakika wa jambo hili.
Ningependa kumwona Magufuli akiambatana na mkewe wakati wa kupiga kura
Hahahahaaa hahahaaa, MAKUFULI kaenda alone sijui Janet kakataaaNdugu yangu unauliza vumbi stoo, nimeshapeleka kilio Lumumba nasikia mazishi kesho wanasubiriwa watoto wa marehemu matanga baada ya siku tatu.
Kiss 😘
Mbona watu wamepiga kura kwa uhuru???
Mimi nimeshamkata pamoja na kulia lia kwamba ninamuonea
Nifah Niko na presida wangu monduli tunapiga kura kitu moja viva lowasa
Niko kwenye foleni, foleni yenyewe ni ndefu sana nakadria nitapiga kura saa saba, watu wanaongea kwa chini chini sana ni Lowassa tu, halafu polisi aliyopo ni mwanamke mcheshi sanaaa anapita kunyoosha foleni huku akionyesha vidole viwili , watu wanamwelewa na wanatikisa vichwa
Lowassa anashinda huu uchaguzi