Lowassa Live ITV akipiga Kura Monduli

Lowassa Live ITV akipiga Kura Monduli

Nimeshafanya yangu, hapa kituo shule St Marry ..mbeya.... Kura kwa ukawa...yaan sijachelewa sikuangalia picha, nilicheki vidoleviwili ..nikaweka tick ktk kibox kuanzia rais lowasa, mbunge Sugu na diwani wao....nipo home nasubiria baada ya SAA 10, nikachungulie....au nitacheki kwa dirishani, maana home ni mita 195 toka kituoni
 
Naona waandishi wa habari wa nchi za nje hawakupewa nafasi ya kumuhoji magufuli..... jamaa nduki.... majibu ya haraka haraka.... "eti nikiapishwa"...

Waandishi wa nje hawajui kiswahili. Magufuli hajui kizungu. Suluhisho ilikuwa ni kutoka nduki tu
 
Oyooo umetisha sana mkuu.
Hadi nakuonea wivu,wish ningejiandikishia huko.

Nifah Lowasa kabla hatujamwapisha nitakuPM uje tuangushe dume moja chalii yangu kusheherekea landisi kuingia ikulu viva lowasa.
 
Spencer Lameck yupo live kutoka Monduli.

Foleni ni kubwa na amesema anasubiriwa Lowassa atakuja kupiga kura kituoni hapo.

Yupo live muda huu.

Updates 1..

Tayari Lowassa ameshapiga kura akiambatana na mama Regina na amehojiwa na vituo mbali mbali vya habari ikiwemo mwandishi wa Al Jazeera International ambapo Lowasaa ameyajibu maswali yote kwa kiingereza safi kabisa kwa hali ya juu kabisa

Updates 2..

Lowasa akihojiwa ameulizwa yupo tayari kukubali matokeo? Amejibu kuwa kama uchaguzi utakuwa huru na wa haki atakubali matokeo na kama hautakuwa huru na wa haki basi hatakubali matokeo kamwe.

Updates 3..

Mama Lowassa anasema kuwa ana uhakika kabisa mume wake ataibuka mshindi. Ameyasema hayo akihojiwa live na Spencer Lameck wa ITV


Zilikuwa ndoto za kijinga kuamini kuwa Lowassa anaweza kuwa Rais wa Nchi hii. Ajabu hata wenye akili walijitoa ufahamu!!
 
Tangu lini nyumbu akavuka mto mara salama?

Kuku wako manati ya nini
 
Zilikuwa ndoto za kijinga kuamini kuwa Lowassa anaweza kuwa Rais wa Nchi hii. Ajabu hata wenye akili walijitoa ufahamu!!
Yaaani. We acha tu. Imenikumbusha uchaguzi wa 1995 ambapo kuna watu waliamini kuwa Mrema angeshinda uraisi.
 
Back
Top Bottom