Hata vituo vya TV vinajua rais ni Lowassa ndiyo maana anaonyeshwa live.
Nashangaa eti TBC wanaonesha katuni
Kwa nini ITV hawakumuliza swali walilomuuliza Lowassa, akishindwa atafanyaje?Magufuli ameenda kupiga kura bila mke wke,mzee wa geto.
Kuna mama mmoja jirani yangu hapa anaipenda fisiem balaa na amepoteza kadi yake ya kupigia kura, nimefurahije..
Sidhani kama atashindwa Phd yake amesomea kwa lugha hiyo hiyo
Mi ningemuona aliyekaribu yangu ningemwibia kadi kwenye foleni
MTAZAMO MPYA@@@@ WANAOKUTA MABOX AU MAKARATASI YA KURA WAAMBIE... wasichome ila yawe ushadidi mahakamani!
WATAPOTEZA HAKI..... Hasa kura
Polisi wataharibu ushahidi. Bora kuchoma ili zisije kupenyezwa
Sikutegemea utaonekana mitandaoni leo, wenzio wote wamejificha kwa aibu ambayo imeanza kujionyesha ndani ya masaa mawili tu ya upigaji kura