Consultant
JF-Expert Member
- Jun 15, 2008
- 11,611
- 21,135
Lowassa kaonekana ITV akipiga kura huku akiwa mtulivu sana na amejibu maswali kwa busara kubwa. Kuna tofauti kubwa mno kati ya Lowassa na Magufuri. Ngoja nijiandae kwenda kituoni kufanya yangu