Tiba
JF-Expert Member
- Jul 15, 2008
- 4,604
- 3,163
Nakubaliana na wewe kuwa sikijui kiswahil.Unajua siku zote huwa na sema mtu usiongee kitu usicho kijua usije jikuta kwenye matatizo bure.najua wewe unamshabikia Mwanakijiji kwa kuwa makala makala zake zina kuvutia,ungejua yeye anatumiwa hizo na makala halafu yeye ana copy na kupaste hapa.sitaki kuongea mengi kuhusu Mwanakijiji nisije onekana nina nia mbaya nae au nime tumwa,maana waswahili hamchelewi.maandishi ya rangi nyekundu hapo juu: hapa atupo kutukanana au kakashifiana bali tupo kujenga hoja na kuelimishana pamoja na kukosoana.
Josm,
Mmmmhhhh!!!!! Kama kweli Mwanakijiji anatumiwa kama unavyotaka tuamini, basi anatumiwa vizuri sana. Mwanakijiji, endelea kukubali kutumiwa ili kupitia kwako tuyajue mengi zaidi.
Tiba