MtazamoWangu
JF-Expert Member
- Apr 25, 2009
- 313
- 7
kuupinga ufisadi si kupinga kila kitu kinachofanyika au kufanywa na hawa watu...kufungua redio jamani ni katika investment RAHISI sana hapa nchini kufanya, kama kuna mtu hajui aulize pale TCRA.
mi naona ni kitu cha kumpongeza na kumtaka aitumie kwa maendeleo ya eneo lile..tusiwe sana negative tukazani ndio mtazamo sahihi na kupinga hata vitu visivyo na nia mbaya kwa kutumia jazba la ufisadi....
ufisadi ulitengenezwa na serikali tuliyoiweka sisi wenyewe kwa kushindwa kusimamia rasirimali za nchi....tukumbuke kukumbatia maji kama jiwe ni ujinga...
mi naona ni kitu cha kumpongeza na kumtaka aitumie kwa maendeleo ya eneo lile..tusiwe sana negative tukazani ndio mtazamo sahihi na kupinga hata vitu visivyo na nia mbaya kwa kutumia jazba la ufisadi....
ufisadi ulitengenezwa na serikali tuliyoiweka sisi wenyewe kwa kushindwa kusimamia rasirimali za nchi....tukumbuke kukumbatia maji kama jiwe ni ujinga...