Kwa wale wenye fani ya uganga na saikolojia,Dalili ziko wazi kabisa kuwa ana tatizo la kiafya.Anaonekana ku-strugle katika kuongea na mara nyingi tu ana-fumble with own words,Maana yake kuna tatizo la kuwasilisha kile anachotaka kukisema au kukitenda kutoka kwenye ubongo kwenda kwenye misuli.Kila anapoongea;Pay attention na position,alivyokaa,movements zake,(anajaribu sana kuwa static) ili aonekane yuko composed.Akisimama ni kwa muda mfupi sana vinginevyo anapendelea kukaa,Otherwise LAZIMA awepo mtu nyuma yake kwa support.Kutembea pia ni mgogoro,angalia co-ordination ya misuli yote ya mwili wake akiwa katika mwendo utagundua kuna tatizo.Simuombei mabaya ila hiyo ndiyo hali halisi ambayo yeye binafsi hataki ku-admit.Ni sawa na mtu anapozeeka,kama mungu akimpa maisha marefu huwa hataki ku-admit kuwa uzee ni kikwazo,unamzuia kufanya kitu anachotaka kufanya na hasa akiwa na sound mind and spirit.