Lowassa ataweza kampeni kweli?

Lowassa ataweza kampeni kweli?

Alipokuwa anatangaza nia kule Arusha Lowasa alihutubia kwa dk 20. Juzi Mbeya kahutubia kwa dakika 16, Arusha Dakika 7 na Zanzibar Dakika 11. Hivi huyu Lowasa ataweza kuhutubia mikutano ya Kampeni zaidi ya minne kwa siku? Ataweza kuzunguka nchi nzima kama alivyokuwa anafanya Dr Slaa? Mwisho ataweza kuhutubia Bunge kwa masaa mawili hadi matatu? Ataweza kukagua paredi ya kijeshi? Mhhhh naanza kupata mashaka.
mwaka huu lazima kampeni zisimame kusubiri mtu akiwa amekweda kutibiwa ujerumani.
 
Nadhani Watanzania wanahitaji Rais wa vitendo zaidi kuliko maneno mengi kama chiriku . EL ni mtu wa maneno machache na vitendo vingi sio kuwaweka watu wakusikilize kwa masaa 2 huku unachoongea ni pumba tupu
Matendo gani katenda zaidi ya ufisadi wake wa kutuibia watanzania?
 
Hivi hotuba za masaa 3 za Vasco Da Gama wewe huwa unazisikiliza? Hatutaki rais wa ngonjera tunahitaji maendeleo tuyaone siyo kuandikiwa. Lowassa hahitaji kusimulia wapo akina Duni watatuchekesha na yeye atatoa maamuzi na matamko tu
 
Kwani hata Kibaki na Uzee wake si alifanya kampeni na kama unakumbuka alipata ajali ya gari siku za mwisho za kampeni na bado akawa Rais!!! Hawa CCM wako taabani bin vUUU!!

Washakuwa hoi kifo kinawanyelea sasa wanatafuta wa kufa naye, wasione aibu kutoroka na kuja huku kwetu, hatuna chuki na mtu anayekubali sera zetu. Namshauri kingunge awahi maana mambo ndo yanakaribia kuanza, tuanze kurusha majiwe......iririrrrrrr tiiiiiiiiii, ukisikia yalaaaa tayari mtu kaumia

Wakumbuke huku kuna sera tofauti na walikotoka, wazikubali na kuzifanyia kazi ili tujenge nchi kwa pamoja. Ni nchi yetu wote tofauti na ccm ambapo nchi ilikuwa mikononi mwa wachache
 
Alipokuwa anatangaza nia kule Arusha Lowasa alihutubia kwa dk 20. Juzi Mbeya kahutubia kwa dakika 16, Arusha Dakika 7 na Zanzibar Dakika 11. Hivi huyu Lowasa ataweza kuhutubia mikutano ya Kampeni zaidi ya minne kwa siku? Ataweza kuzunguka nchi nzima kama alivyokuwa anafanya Dr Slaa? Mwisho ataweza kuhutubia Bunge kwa masaa mawili hadi matatu? Ataweza kukagua paredi ya kijeshi? Mhhhh naanza kupata mashaka.

Kikwete alikuwa ana porojo na kucheka cheka tu kwa saa nzima au zaidi!Imetusaidia nini? Ni Kikwete huyu huyu aliyedondoka kwenye majukwaa.

Sasa Lowassa atashindwa nini wakati 'komredi' wake alionyesha "tunaweza".
 
mwaka huu lazima kampeni zisimame kusubiri mtu akiwa amekweda kutibiwa ujerumani.

Mkuu umesahau kikwete alikua anaanguka anguka majukwaani kama mtu mwenye degegdege na kifafa huku alikua anadhaniwa ndie mzima,mrema aliekua anadhaniwa mgonjwa hajawahi kuanguka jukwaani. umzaniae sie.
kuna siku nilihudhuria mkutano wa kikwete akaanguka nikakasirika sana,mara hotuba iahirishwe na ujinga mwingi
 
Matendo gani katenda zaidi ya ufisadi wake wa kutuibia watanzania?

Maccm yote wezi kwa sababu sera zao ni za wizi na kulindana. Toroka uje huku tuone utanzaanza vipi kuiba natutakuvumilia vipi wakati sera zetu haziruhusu.

Hoja za bungeni wakati wa uwasilishaji bajeti ya wizara yaujenzi zili reveal jinsi mgombea wenu alivyo na tuhuma za ufisadi, hapo utamtetea as if analisha familia yako
 
Alipokuwa anatangaza nia kule Arusha Lowasa alihutubia kwa dk 20. Juzi Mbeya kahutubia kwa dakika 16, Arusha Dakika 7 na Zanzibar Dakika 11. Hivi huyu Lowasa ataweza kuhutubia mikutano ya Kampeni zaidi ya minne kwa siku? Ataweza kuzunguka nchi nzima kama alivyokuwa anafanya Dr Slaa? Mwisho ataweza kuhutubia Bunge kwa masaa mawili hadi matatu? Ataweza kukagua paredi ya kijeshi? Mhhhh naanza kupata mashaka.

sis hatutaki maneno wala hotuba ndefu zilizo jaa mipasho na kejeli, TUNATAKA UTENDAJI cameon meen grow up baby
 
Alipokuwa anatangaza nia kule Arusha Lowassa alihutubia kwa dk 20. Juzi Mbeya kahutubia kwa dakika 16, Arusha Dakika 7 na Zanzibar Dakika 11. Hivi huyu Lowassa ataweza kuhutubia mikutano ya Kampeni zaidi ya minne kwa siku?

Ataweza kuzunguka nchi nzima kama alivyokuwa anafanya Dr Slaa? Mwisho ataweza kuhutubia Bunge kwa masaa mawili hadi matatu? Ataweza kukagua paredi ya kijeshi? Mhhhh naanza kupata mashaka.
duh ....kazi kweli kweli....mimi naangalia hii series tu boss
 
Kichwa chake kipo poa???? umemsikia mtoto wake jana???
Hili watanzania tunatafuta bomu. litatulipikua siku yoyote.


Kwani mwanae ni daktari? Kama mgonjwa atatibiwa kama wanavyotibiwa binadamu wengine, unless uniambie ame-lose mind
 
Kuongea sana sio kipimo cha kuwa kiongozi mzuri,lowassa tunamjua siku zote anaongea machache vitendo vingi,sasa rais akiwa muongeaji sana,mawaziri,wabunge na madiwani waweje si itakuwa kama baa sasa,hata akiongea amekaa kwenye kiti haijarishi tunamchagua huyohuyo
 
Sijawahi kumuona lOWASA akila hadharani. Nimesikia analishwa siku hizi. Hapo kwenye dhifa ya kitaifa akialikwa huko majuu iatakuwaje.. unaweza ukadhani nakashifu lakini just think critically.
Duh sasa kama ni kweli...inakuwaje jamaa anataka kuwa kiongozi wa nchi boss? duh kazi kweli kweli
 
Hotuba masaa matatu,,, utendaji, zero,,
Afadhali asiyeongea kabisa!
 
Raisi anapaswa kuwa mentally,physically,emotionally fit. Lowasa lacks all.
 
Majibu yako ni rahisi na mepesi mno!Hili nisuala nyeti sana kwa taifa!
kama kuna mtu anajua kesho yake itakavyokuwa aseme..... kama ulivyojifunza kutumia simu na kompyuta mazingira yalivyokulazimu kujifunza.... nadahani pia mazingira yatamlazimu ajifunze kuongea mbele ya watu........
 
Back
Top Bottom