Lowassa asababisha timua timua ITV

Lowassa asababisha timua timua ITV

Hali ni tete ndani ya kituo cha ITV kufuatia kuvuja kwa video zinazomuonyesha mgombea wa Chadema Edward Lowassa akiwa kwenye hali ya udhoofu.

Mtoa taarifa ambaye ni mtangazaji wa ITV anasema, mmiliki wa kituo hicho Reginald Mengi baada ya kulalamikiwa na Lowassa juu ya video hizo ambazo zimesambaa kwenye mitandao ya kijamii, alitaka wote waliohusika kwenye utayarishaji wake wawajibike.

Anasema uandaaji wa matangazo hayo ya Lowassa ambayo yameanza kurushwa na ITV, yalichukua muda mrefu kuyaandaa ambapo Lowassa kutokana na hali yake ilimlazimu kurudia kila mara na wakati mwingine alionekana kushindwa kuongea na kukohoa sana.

Video hizo ambazo alishindwa kuongea ndo zimesambazwa na kumkera Lowassa na kukosa imani na ITV kituo ambacho inaelezwa alianza kukilalamikia kwa kupunguza habari za mikutano yake.

Mtoa taarifa anasema tayari baadhi ya watendaji wamesimamishwa kazi kwa kitendo cha kusambaza video zinazomdhalilisha Lowassa na kuonyesha udhaifu wake ambao Chadema wanajitahidi kuuficha.

Wewe gamba mwaka huu lazima urudi kijijini kwenu mmengere kuchoma mkaa maana posho za lumumba zinakatika baada ya ccm kufurumushwa kutoka ikulu
 
Ngoja niwawekee aina uongo Magamba

wanaoutengeneza na kuusambaza Facebook instargram na mitandao mbalimbali na ukweli wake

Magamba wanadhani bila Lowassa ndo watashinda
Thubutuuuu hata asingekuwepo Mwaka huu mtakoma

Kweli kabisa mwaka huu hata lingesimamishwa jiwe tungelichagua kuliko ccm
 
Mtoa uzi huu tubu kwa Mungu ,hujafa hujaumbika ,

Unasema mwenzako mgonjwa,watu wanatangulia wanamwacha wanayemwita mgonjwa

Nakwambia tubu maana Mungu anajibu kwa moto.

Kumbuka sala ya sheikh pale Jangwani UKAWA walipozindua kampeni!

Magamba hayakumbuki na matokeo yake leo tunayaona
 
Ugonjwa wake ni wa kusahau hata jina lake siku hizi halikumbuki, utamsikia naomba kura zenu tu. Rais ndio symbol ya nchi, hatutakiwi kuwa na shaka shaka nae,usalama wa nchi yote uko kichwani kwake. Hatutaki tumchague lowasa aongoze Sumaye.

Hata ange kuwa ni bubu tumeshaamua kumchagua hivyo hivyo na nyinyi maccm mwaka huu laxima muende kulima
 
Pushup dk 5 hotuba lisaa na nusu non stop and without sitting or pee!!

Lowasa lowasa lowasa lowasa lowasa lowasa lowasa lowasa lowasa lowasa lowasa lowasa lowasa lowasa lowasa
 
Back
Top Bottom