Odhiambo cairo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 16,351
- 22,954
Huyu mzee simpendi,lakini huwa sioni kama ni jambo la busara kumsimanga afya yake,suala la kuwa mgonjwa halijalish wewe ni tajiri au maskini.tumponde kwa mengine lakini mambo ya afya yake tumuachie yeye na mungu wake.
Kumbe na we kuna wakati unakuwa Akili na Utu AJABU. hebu toa semina humo UGAMBANI