Lowassa asababisha timua timua ITV

Ni kweli si vizuri kufanya utani na maradhi ya mtu maana si ujinga wake kupata hayo maradhi na wala mtu si ujanja wake kuwa na afya. Lakini linapokuja suala kama hili la urais, lazima watu tulitizama suala la afya yake maana anataka kuwa kiongozi wetu hivyo lazima tuhoji je,ataweza kuongoza kwa hali aliyokuwa nayo? Laiti Lowasa asingejishughlisha na suala hili hakuna ambaye angekuwa anazungumzia afya yake leo,lakini kwa kuwa anataka awe kingozi mkuu wa nchi hivyo suala la afya yake si la kwake yeye na familia yake tu.

Hivyo si sahihi kutisha watu kuhoji afya yake maana anataka kuwa kiongozi mkuu.

Hata angegombe uenyekiti serikali ya mtaa, kura yangu asingeipata. Afya kigezo muhimu sana kwenye kazi, achilia mbali wizi na ufisadi.
 
Hutudanganyi kitu.tutamchagua lowassa akafie hukohuko ikulu kuliko hili pombe za makufuli ya john

Utamchagua wewe na utaahira wako. Ivi anakaguaje gwaride kwa mfano?
We lofa unajua kilitokea nini jana Tunduma au ndo shabiki oya oya? Tuna wiki moja tu kuihakikishia dunia kuwa average/majority ya watanzania siyo mataahira
 
Hao wafanyakazi wa ITV wasiishie kufukuzwa kazi tu,tunataka kuona sheria ya mitandao lnafanya kazi dhidi Yao.
 
Kuna kitu kimoja watu wengi na ccm hawajajua.

Ishu hapa sio Lowasa ishu ni ccm kukaa pembeni so Lowasa anatumika kama njia ya kuiweka ccm pembeni.

Jana nlikuta watu wanabishana kuhusu Afya ya Lowasa na wengi katika kundi lile lilikuwa na msimamo kwamba hata wakitangaziwa kafariki asubuhi ya tarehe 24 au 25 na uchaguzi ukaendelea bado watamchagua Lowasa kama ambavyo kuna watu walikuwa wakikipigia kura kivuli enzi za Mwalimu.

Hapo ndipo kwenye ishu ndo mana mama aliyehojiwa na ITV kule Mbeya jana alisema awe mwizi awe tajiri awe mgonjwa au nn watamchagua tuu.
 
Utamchagua wewe na utaahira wako. Ivi anakaguaje gwaride kwa mfano?
We lofa unajua kilitokea nini jana Tunduma au ndo shabiki oya oya? Tuna wiki moja tu kuihakikishia dunia kuwa average/majority ya watanzania siyo mataahira

Mkuu cha ajab et vipaza sauti havifanyi kazi kwa edo ila kwa mbowe vinafanya kazi...

Yaan wanatufanya tz wote mazuzu, kwa kwel edo hajiwezi ila basi tu wanalazimisha
 
Mbona mwai kibaki aliapshwa kuwa rais akiwa mgonjwa hatembei nyie VP muacheni mzee wawatu

Kibaki aliumia kutokana na ajali, nikuongeze mfano, hata mkapa alivunjika mkono akiwa raisi but thats too irrelevant. Hakuwa anatetemeka hovyo, wala hakuwa anajinyeanyea. Hivi unaweza sema mtu hafai kuwa raisi kwa kuwa kavunjika mguu au mkono? Hapana, hata malaria, hata HIV, lakini siyo AIDS, siyo kwa ugonjwa usiopona na unaoathiri kazi za raisi ie. mkuu wa nchi, kiongozi wa serikali na amiri jeshi mkuu
 
kwani lowasa miezi mitatu iliyopita alikuwa chama gani..hebu jiulize angepita kwa ccm ungekuwa unaongea nini sasa hivi..fikiria kwa kichwa sio viroba

ningekuwa kwenye chama changu chadema mana yeye ndio amenifanya nitoke huko chadema
 
Kibaki aliumia kutokana na ajali, nikuongeze mfano, hata mkapa alivunjika mkono akiwa raisi but thats too irrelevant. Hakuwa anatetemeka hovyo, wala hakuwa anajinyeanyea. Hivi unaweza sema mtu hafai kuwa raisi kwa kuwa kavunjika mguu au mkono? Hapana, hata malaria, hata HIV, lakini siyo AIDS, siyo kwa ugonjwa usiopona na unaoathiri kazi za raisi ie. mkuu wa nchi, kiongozi wa serikali na amiri jeshi mkuu

Je kwa mtu mwenye kifafa cha kuanguka anguka jukwaani anafaa kuwa Rais au hafai?
 
Hivi kuna mgonjwa anayeweza himili kuzunguka nchi nzima mpaka sasa? Mbona hao wazima tunawafungia maturubai kila siku Karimjee Hall.....
 
Mkuu cha ajab et vipaza sauti havifanyi kazi kwa edo ila kwa mbowe vinafanya kazi...

Yaan wanatufanya tz wote mazuzu, kwa kwel edo hajiwezi ila basi tu wanalazimisha

Achaa utahira, mbowe alikuwa anaongea na microphones zilikuwa hazitoi sauti. Sauti ilikuwa kavu kavu ya mbowe.
 
Semeni yooooooteee,mruke,mlalee,hata mjinyongee ila KURA yetu ni kwa LOWASA tu, haibadiliki.
 
Back
Top Bottom