Lowassa asababisha timua timua ITV

Mungu pekee ndie ajuae uzima was mwanadamu. Lowasa ni mzima KIROHO na ndomana anasonga mbele hana muda wa kumjibu mtu.
 
Maana wewe ni mzima sana..utaishi milele.na ushachek afya yako ukajiona mzima?kabla hujafa hujaumbika..make jokes about other stuffs but nt about health status ya mtu.wengine marehemu watarajiwa hata hamjijui kazi kumsema lowasa lowasa..mumuache ndo tushampenda sasa

Sidhani hapa kama suala ni kudhihaki uginjwa kwani hata nami sipendi kabisa suala la kudhuhaki ugonjwa. Swala hapa ni kuwa je Kwa Lowassa kuwa Mgonjwa na ndiye anayehitajika na hao wanaiomuhutaji sasa je akicg=haguliwa ni kweli yeye ndie atakaeendesha nchi? Si itaiongozwa na kina Mbowe? na kama walikuwa na uwezo huo si wanmgeomba wao wenyewe kuongoza nchi? Kwa maana nyingie hawana uwezo bali wanamtumia tu hyu baba masikini kwa manufaa yao.
Issue ya kusema ooh wewe unaweza ukawa si mginjwa ukafa , hilo tunalifahamu lakini sidhani kama ni busara kumchagua mtu huku bayana hali yake ya kiafya si nzuri huo ndio ukweli mchungu! Kwani licha ya kuwa tija yake itakuwa limited lakini ni kumtesa hata yeye mwenyewe kwani hapo yuko kwa maslah ya watu fulani na sio kwa walala hoi ambao ndio majority wa nchi hii na wana haki sawa na hao ELITES waliojipambanua na kutumia haohao walala hoi kuwalaghai!
 
Lowasa ni binadam km wewe na mimi. Kumpenda binadam mwenzako ni jukumu ulilo agizwa na Mwenyezi Mungu. Lkn Lowasa kwenye uongozi CCM kakaa muda gani? Na kafanya nini? Maana CCM ni watu kwahiyo akina Lowasa na wenzake ndo wametufikisha hapa.
Hapa anachofanya ni kutuchezea akili ili aendelee kutuongoza/ kutupeleka kubaya zaidi.
I say NO to HYPOCRISY! Angefanyia mabadiliko huko huko CCM ningemwona wa maana zaidi. Nina kura moja nitaitumia vizuri!

It is very very true! yeye alifanya nini akiwa huko CCM? Mnafiki mkubwa kitu gani kipya alichonacho? Inajulikana kuna watu binafsi watafaidika na ndio wanaowashawishi wnegine nasi kwa Ujinga wetu eti tunakubali. BIG NO kwa Lowassa!!!
 
Hali ni tete ndani ya kituo cha ITV kufuatia kuvuja kwa video zinazomuonyesha mgombea wa Chadema Edward Lowassa akiwa kwenye hali ya udhoofu.

Mtoa taarifa ambaye ni mtangazaji wa ITV anasema, mmiliki wa kituo hicho Reginald Mengi baada ya kulalamikiwa na Lowassa juu ya video hizo ambazo zimesambaa kwenye mitandao ya kijamii, alitaka wote waliohusika kwenye utayarishaji wake wawajibike.

Anasema uandaaji wa matangazo hayo ya Lowassa ambayo yameanza kurushwa na ITV, yalichukua muda mrefu kuyaandaa ambapo Lowassa kutokana na hali yake ilimlazimu kurudia kila mara na wakati mwingine alionekana kushindwa kuongea na kukohoa sana.

Video hizo ambazo alishindwa kuongea ndo zimesambazwa na kumkera Lowassa na kukosa imani na ITV kituo ambacho inaelezwa alianza kukilalamikia kwa kupunguza habari za mikutano yake.

Mtoa taarifa anasema tayari baadhi ya watendaji wamesimamishwa kazi kwa kitendo cha kusambaza video zinazomdhalilisha Lowassa na kuonyesha udhaifu wake ambao Chadema wanajitahidi kuuficha.

Mzee amechoka apumzike tuu na watanzania tumemvhoka pia
 
Hata kama angekuwa mgonjwa wa kufa tarehe 26th Oct, mimi nitampa kura tarehe 25th Oct.
 
Nimechoka kujibishana na CCM maana kila unajitahidi kuwaekemisha , wao wanakua busy kujiandaa kuongea mara tu umalizapo. Sasa hivi tukutane hapa baada ya tarehe 26
 
Mgonjwa ndio mzuri... maana ndie anae mkumbuka mungu kwa wakati huo wa Ugonjwa.... hivyo naimani na mgonjwa atatenda haki ya kweli kumzidi Yule mpiga push up mwenye Afya tele..... Viva Lowassa for 2015
 
Wacheni kumkufuru Mungu kwa kumwita Lowassa mgonjwa kama nyiye ndiyo mliomuumba.

Jiulize swali moja tu la msingi ni kwa nini wagombea wengi wanaoonekana kuwa wako fit sana ndiyo wanapukutika na kumwacha Lowassa ambaye anadaiwa kuwa mgonjwa?

Hiyo inatuonyesha namna Mungu anavyotuonyesha utukufu wake mkuu.

Kuugua sio kufa hapa haliongelewi suala la kufa mimi binafisi sikubali kuongozwa na ngonjwa wakati wazima wapo
 
Back
Top Bottom