Lowassa asababisha timua timua ITV

Lowassa asababisha timua timua ITV

Safi sana naomba awe yule mwenye upara ni mnafiki sana
 
Eti Breaking news.. Subiri breaking news tar 26. Huu upuuzinongea na wana CCM WENZAKO!!!!!
 
Kwani siku hizi anatumia dakika ngapi kuhutubia?

Nyie mnatumia ngapi kwa pushup? Hata jana nilimwona anawasotesha mashehe Zanzibar! Ngoja washindwe shughuli za nyumban kama atapata kura za akina mama
 
BREAKING NEWS:
Hali ni tete ndani ya kituo cha ITV kufuatia kuvuja kwa video zinazomuonyesha mgombea wa Chadema Edward Lowassa akiwa kwenye hali ya udhoofu.

Mtoa taarifa ambaye ni mtangazaji wa ITV anasema, mmiliki wa kituo hicho Reginald Mengi baada ya kulalamikiwa na Lowassa juu ya video hizo ambazo zimesambaa kwenye mitandao ya kijamii, alitaka wote waliohusika kwenye utayarishaji wake wawajibike.

Anasema uandaaji wa matangazo hayo ya Lowassa ambayo yameanza kurushwa na ITV, yalichukua muda mrefu kuyaandaa ambapo Lowassa kutokana na hali yake ilimlazimu kurudia kila mara na wakati mwingine alionekana kushindwa kuongea na kukohoa sana.

Video hizo ambazo alishindwa kuongea ndo zimesambazwa na kumkera Lowassa na kukosa imani na ITV kituo ambacho inaelezwa alianza kukilalamikia kwa kupunguza habari za mikutano yake.

Mtoa taarifa anasema tayari baadhi ya watendaji wamesimamishwa kazi kwa kitendo cha kusambaza video zinazomdhalilisha Lowassa na kuonyesha udhaifu wake ambao Chadema wanajitahidi kuuficha.

Tubu tu,wengine wamekufa kwa ujinga kama wewe wamekufa.

Mwl.Nyerere alienda kuchunguzwa afya Ulaya akarudi maiti. Wagonjwa wakaendelea kuwa wenyeviti.
 
Hata akiwa dhoofu tutampigia kura maana atatukumbuka kusimamia afya zetu.

Ugonjwa wake ni wa kusahau hata jina lake siku hizi halikumbuki, utamsikia naomba kura zenu tu. Rais ndio symbol ya nchi, hatutakiwi kuwa na shaka shaka nae,usalama wa nchi yote uko kichwani kwake. Hatutaki tumchague lowasa aongoze Sumaye.
 
Hiyo ndiyo Mengi anaiita saratani ya uongo.
video kama imevuja wanaomchukia lowasa wangeirusha pale pale bila kuchelewa lakini bado wiki moja wote musiomkubali itabidi mumkubali.
 
Ugonjwa wake ni wa kusahau hata jina lake siku hizi halikumbuki, utamsikia naomba kura zenu tu. Rais ndio symbol ya nchi, hatutakiwi kuwa na shaka shaka nae,usalama wa nchi yote uko kichwani kwake. Hatutaki tumchague lowasa aongoze Sumaye.

Maana wewe ni mzima sana..utaishi milele.na ushachek afya yako ukajiona mzima?kabla hujafa hujaumbika..make jokes about other stuffs but nt about health status ya mtu.wengine marehemu watarajiwa hata hamjijui kazi kumsema lowasa lowasa..mumuache ndo tushampenda sasa
 
Mtoa uzi huu tubu kwa Mungu ,hujafa hujaumbika ,

Unasema mwenzako mgonjwa,watu wanatangulia wanamwacha wanayemwita mgonjwa

Nakwambia tubu maana Mungu anajibu kwa moto.

Kumbuka sala ya sheikh pale Jangwani UKAWA walipozindua kampeni!
 
Kiwanda cha uongo at its best!Hiyo clip iliyovuja kaiona nani?Lumumba mmechanganyikiwa nin?
 
Naomba huyu aliyetoa uzi huu awajibishwe sheria ya mtandao kama itadhibitika ni mchochezi.
 
BREAKING NEWS:
Hali ni tete ndani ya kituo cha ITV kufuatia kuvuja kwa video zinazomuonyesha mgombea wa Chadema Edward Lowassa akiwa kwenye hali ya udhoofu.

Mtoa taarifa ambaye ni mtangazaji wa ITV anasema, mmiliki wa kituo hicho Reginald Mengi baada ya kulalamikiwa na Lowassa juu ya video hizo ambazo zimesambaa kwenye mitandao ya kijamii, alitaka wote waliohusika kwenye utayarishaji wake wawajibike.

Anasema uandaaji wa matangazo hayo ya Lowassa ambayo yameanza kurushwa na ITV, yalichukua muda mrefu kuyaandaa ambapo Lowassa kutokana na hali yake ilimlazimu kurudia kila mara na wakati mwingine alionekana kushindwa kuongea na kukohoa sana.

Video hizo ambazo alishindwa kuongea ndo zimesambazwa na kumkera Lowassa na kukosa imani na ITV kituo ambacho inaelezwa alianza kukilalamikia kwa kupunguza habari za mikutano yake.

Mtoa taarifa anasema tayari baadhi ya watendaji wamesimamishwa kazi kwa kitendo cha kusambaza video zinazomdhalilisha Lowassa na kuonyesha udhaifu wake ambao Chadema wanajitahidi kuuficha.

Acha uzushi nimeziona izo video mtu kukohoa ndo dhaifu na kusema nimekula asali ndo dhaifu
 
Back
Top Bottom