tanken
JF-Expert Member
- Apr 9, 2014
- 224
- 53
Hivi kuna mgonjwa anayeweza himili kuzunguka nchi nzima mpaka sasa? Mbona hao wazima tunawafungia maturubai kila siku Karimjee Hall.....
Wajua mkuu,KILA mtu aliye mwonea na kumsema LOWASA kwa ubaya hasa kumnyanyapaa kuwa ni mgonjwa,eti kaji.....hawa watu kauli walilotamka kwa ubaya Liwarudie Mara mbili zaidi,wao liwapate madhara hayohayo kumtakia mtu adiyewasema,asiyewachukia,mtu aliyekua kimya huku anakejeliwa. Nyinyi wauvu hasira ya Mwenyezi Mungu Mkuu aliye hai inawajia kuanzia sasa.hamtabaki salama mpaka mtakapomwona LOWASA na kumwomba msamaha NAYE akatamkaa kuwasamehe.