Lowassa asababisha timua timua ITV

Lowassa asababisha timua timua ITV

Yeye anagombea urais ndio sababu, cheo cha mwisho kabisa, kwa ugonjwa wake anaweza hata kuamuru makombora yavurumishwe ...

Si kweli..japokuwa akishinda ndio atakuwa Raisi lakini sio kwamba kila jambo ataliamua yeye,kuna jopo la washauri,hawa ndio umshauri Raisi nini cha kufanya,,Kama angekuwa na akili hiyo ungekuta kashatukana majukwaani huko CCM wote na Watanzania.matokeo yake hao tunaowaona estimates wa afya ndio wanaporomosha mitusi ,wakimtukana na kumdhiaki mbele ya watoto wadogo.kumbuka mgonjwa huyu ndio tokea siku ya ufunguzi wa kampeni alisema,atafanya kampeni safi ,sio za dharau,matusi ,na kashfa..mpaka leo hii zimebaki siku chache ,ajawahi kutoa kauli yoyote mbaya..Sasa inatuonyesha sisi huyu ndio Kiongozi bora
 
Kwa Mujibu wa Sheria na Kanuni za Maadili Hutakiwi kufanya kampeni siku ya uchaguzi

nina wasiwasi ukikutwa unapiga push up siku ya uchaguzi tena iwapo itakua ni karibu na kituo cha kupigia kura ni kama utaonekana unaashiria/unampigia debe/kampeni mgombea fulani

Kuwa makini
 
Only time will tell.na kwa yeye aliye juu Muumba wa mbingu na nchi kweli yote itathibitika kwa neno lake muda na wakati utakapowadia.Atukuzwe Mungu aliye juu na mtoa afya kwa viumbe wake mimi ni nani hata kumnyooshea kidole kiumbe mwenzangu kwa afya yeke.eeh Mungu usinipe ulimi wa kuwasema watu kuhusu afya zao maana ni wewe unayejua kesho ya mtu.Amina

Amina ndugu yangu. Maneno ya hekima sana ingawa kwa watu wajinga wanaopotea kwao ni upumbavu.

Vv
 
Wote wanaomwambia Lowasa MGONJWA, baba mama wajomba wakubwa kwa WADOGO ktk familia yako je ni wazima? Nawe je, let our Might GOD JUDGE NOT YOU!!!
 
Hali ni tete ndani ya kituo cha ITV kufuatia kuvuja kwa video zinazomuonyesha mgombea wa Chadema Edward Lowassa akiwa kwenye hali ya udhoofu.

Mtoa taarifa ambaye ni mtangazaji wa ITV anasema, mmiliki wa kituo hicho Reginald Mengi baada ya kulalamikiwa na Lowassa juu ya video hizo ambazo zimesambaa kwenye mitandao ya kijamii, alitaka wote waliohusika kwenye utayarishaji wake wawajibike.

Anasema uandaaji wa matangazo hayo ya Lowassa ambayo yameanza kurushwa na ITV, yalichukua muda mrefu kuyaandaa ambapo Lowassa kutokana na hali yake ilimlazimu kurudia kila mara na wakati mwingine alionekana kushindwa kuongea na kukohoa sana.

Video hizo ambazo alishindwa kuongea ndo zimesambazwa na kumkera Lowassa na kukosa imani na ITV kituo ambacho inaelezwa alianza kukilalamikia kwa kupunguza habari za mikutano yake.

Mtoa taarifa anasema tayari baadhi ya watendaji wamesimamishwa kazi kwa kitendo cha kusambaza video zinazomdhalilisha Lowassa na kuonyesha udhaifu wake ambao Chadema wanajitahidi kuuficha.

Hiyo ndio sababu kuu inayonifanya nimpe kura Lowassa nitampa kura yangu na familia yangu nimeishawishi iko tayari kumpa ED
 
ikulu sio mahari pa kubeba zege hata mgonjwa anaweza mbona kazunguka nchi nzima na yuko safi jaribu wewe kama hujaumwa sio mchezo unabadilu hali za hewa zote mwili unaweza stuka
 
Jamani angalieni mwanza huku leo Magufuli amefunika.tuombe Mungu yasitokee madhara ya watu kuumia.
 
Umewah kufikiria kuwa ipo siku!Lowassa atasema mtu fulani ni fisadi nchi hii?
 
Kwa Mujibu wa Sheria na Kanuni za Maadili Hutakiwi kufanya kampeni siku ya uchaguzi

nina wasiwasi ukikutwa unapiga push up siku ya uchaguzi tena iwapo itakua ni karibu na kituo cha kupigia kura ni kama utaonekana unaashiria/unampigia debe/kampeni mgombea fulani

Kuwa makini
Nawe siku hiyo usibebe pampasi ukapita karibu na kituo cha kupigia kura.
 
Nakakumbuka haka kawimbo 'wakati umewadia wasalama za wagonjwa ' zi zilee!
 
huyo hatufai kabisa, rais gani huyo? anayeingilia hadi kwenye private sector na kutimua watu kazi! hapo hajawa rais je akiwa rais tutapona! FUNGUKA
 
Uzima na mauti vyote viko mikononi mwake mola. KURA yangu ni kwa LOWASSA.

Nakuomba WEWE unayesoma thread hii pamoja na FAMILIA yako na RAFIKI zako tumpigie LOWASSA kura hamtojuta kamwe kumchagua LOWASSA.
 
Naface huwezi kumtoa Mengi nje ya reli kwa urongo wako huu. hizo picha uzione wewe tu, wewe peke yako wengine wote tusizione halafu utudanganye ati ITV wametimuliwa. ndorobo kweli wewe. ITV iko imara na inafuata maadili pamoja na maelekezo ya NEC na TCRA kutoa fursa sawa kwa wagombea wote. sio ninyi na star tv yenu mnaompendelea magufuli.
Hali ni tete ndani ya kituo cha ITV kufuatia kuvuja kwa video zinazomuonyesha mgombea wa Chadema Edward Lowassa akiwa kwenye hali ya udhoofu.

Mtoa taarifa ambaye ni mtangazaji wa ITV anasema, mmiliki wa kituo hicho Reginald Mengi baada ya kulalamikiwa na Lowassa juu ya video hizo ambazo zimesambaa kwenye mitandao ya kijamii, alitaka wote waliohusika kwenye utayarishaji wake wawajibike.

Anasema uandaaji wa matangazo hayo ya Lowassa ambayo yameanza kurushwa na ITV, yalichukua muda mrefu kuyaandaa ambapo Lowassa kutokana na hali yake ilimlazimu kurudia kila mara na wakati mwingine alionekana kushindwa kuongea na kukohoa sana.

Video hizo ambazo alishindwa kuongea ndo zimesambazwa na kumkera Lowassa na kukosa imani na ITV kituo ambacho inaelezwa alianza kukilalamikia kwa kupunguza habari za mikutano yake.

Mtoa taarifa anasema tayari baadhi ya watendaji wamesimamishwa kazi kwa kitendo cha kusambaza video zinazomdhalilisha Lowassa na kuonyesha udhaifu wake ambao Chadema wanajitahidi kuuficha.
 
Wacheni kumkufuru Mungu kwa kumwita Lowassa mgonjwa kama nyiye ndiyo mliomuumba.

Jiulize swali moja tu la msingi ni kwa nini wagombea wengi wanaoonekana kuwa wako fit sana ndiyo wanapukutika na kumwacha Lowassa ambaye anadaiwa kuwa mgonjwa?

Hiyo inatuonyesha namna Mungu anavyotuonyesha utukufu wake mkuu.

ndesambura hajui analoliongea. Leo amemweka MTU Wa shairi ili amtukane lwassa . hiyo in udhaifu Wa kisiasa. na sisi hatupendi matusi hivyo. tutampa huyu wanayemtukana na yeye hujibu. Muñgu ambariki sana kwa karama hiyo atamlipa tu
 
Hali ni tete ndani ya kituo cha ITV kufuatia kuvuja kwa video zinazomuonyesha mgombea wa Chadema Edward Lowassa akiwa kwenye hali ya udhoofu.

Mtoa taarifa ambaye ni mtangazaji wa ITV anasema, mmiliki wa kituo hicho Reginald Mengi baada ya kulalamikiwa na Lowassa juu ya video hizo ambazo zimesambaa kwenye mitandao ya kijamii, alitaka wote waliohusika kwenye utayarishaji wake wawajibike.

Anasema uandaaji wa matangazo hayo ya Lowassa ambayo yameanza kurushwa na ITV, yalichukua muda mrefu kuyaandaa ambapo Lowassa kutokana na hali yake ilimlazimu kurudia kila mara na wakati mwingine alionekana kushindwa kuongea na kukohoa sana.

Video hizo ambazo alishindwa kuongea ndo zimesambazwa na kumkera Lowassa na kukosa imani na ITV kituo ambacho inaelezwa alianza kukilalamikia kwa kupunguza habari za mikutano yake.

Mtoa taarifa anasema tayari baadhi ya watendaji wamesimamishwa kazi kwa kitendo cha kusambaza video zinazomdhalilisha Lowassa na kuonyesha udhaifu wake ambao Chadema wanajitahidi kuuficha.

hii misaba mliyoipata bado haijawa fundisho tu?ok mtapata pigo lingine kubwa zaidi
 
Back
Top Bottom