Mkoroshokigoli
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 14,594
- 5,568
Chaguen mmoja awe rais,mmoja PM,VPWanatarime tunasema kwa ccm kama sio MAGUFULI au MUHONGO hatutaki kumuona mtu huku,
Atoke tarime
Chaguen mmoja awe rais,mmoja PM,VPWanatarime tunasema kwa ccm kama sio MAGUFULI au MUHONGO hatutaki kumuona mtu huku,
Hana mvuto watu wanataka hoja za maana yeye anabwabwaja tu hata kuongea hajui kwa siasa za sasa? subiri CCM wampitishe. Atapigwa mawe nchi nzima, labda kasoro Monduli.
Acha matusi kijana. Usipanic.
Pale ITV waliripoti habar ya MUSOMA pekee. Na usitegemee George Marato aripoti taarifa mbaya ya Lowassa yule ni Team lowassa na huwa anaihujumu cdm sana hapa MUSOMA.
Lita 5 ndiyo full tank? acha uongo mkuu!
Ndiyo mm ni cdm. Kwa Akili yako kubwa unafikiri mwana ccm yeyote anaweza ripoti hii taarifa.
Over
mkuu kwani full tank ya pikipiki ni lita ngapi?
Kapigwa mawe sehemu gani kamanda kichwani, mgongoni sehemu gani ya mawili na vipi hali anaendeleaje?
Wakati tumeshuhudia kwenye taarifa ya habari Itv watu walivyomlaki kwa upendo
Jipange ww
Tatizo la Lowassa ni mwanasiasa wa mwiaka ya 1977, habadiliki. Yeye anaamini pesa ndo njia ya kushinda. Watanzania wa leo sio wa miaka hiyo wanahitaji mtu, sio pesa yako wala chama chako.
Namkubusha kwenye uchaguzi wa jimbo la mbuge Nasari Arumeru, alitoa pesa nyingi kumsanidia ndugu yake aliyekuwa anagombea lakini hizo hela walikula na nyingine walimchangia Nasari.
Kambi yake mwambie abadilike ajipime kwa viwango vya uwezo na kukubalika yeye mwenyewe sio pesa na sio wachumia tumbu wanamfanya mtaji ,na mwisho atalalamikia CCM wamenihujumu kumbe yeye mwenyewe ndo tatizo.
Only from TanzaniansMi mpaka najishangaa sisi watanzania ni watu wa aina gani? Kwa maana mtu Mwizi,JambaZi, Jangiri Mafisadi Papa kama hawa wanaotuibia na kudhulumu wazi wazi eti Wanakuja kuomba Dhamana yetu tuwakabidhi inchi yaani tuhalalishe ujambazi wao?
Kweli Jamani yaani sisi ni wapole na wajinga kiasi hicho? Ninaa amini ndani ya kikosi cha Majambazi wapo pia mashushushu, basi tuwape mashushushu ili tuwe salama.
Nchi Za wenye msimamo hawa watu walitakiwa wawe tayari wamepelekwa kwenye mamlaka za milele siku nyingi saana.