mkuu lowasa ni mafuriko hayazuiliki naona baada ya cd ya kusema lowasa ni mgonjwa kukosa soko mmekuja na nyngne ya mawe jana airport vijana walitaka kuvunja geti wakamsalimie lowasa Kangi lugola akafanya kazi kubwa kuwatuliza na kuomba geti lifunguliwe vijana wakamsalimia lowasa nakuhakikishia kua nguvu ya lowasa haizuliki trust me or not...ila upepo wa watanzania umegeukia upande wa lowasa mpaka bnafsi nmeshsngaa...Lowasa ni mpango wa Mungu kuna kitu ambacho Mungu anataka atufanyie watanzania kupitia lowasa hatuwezi kushindana na mpango wa Mungu ata tumtukane lowasa na kumsngizia kutokana na visasi vya makundi ya ndani na nje ya ccm lakini lowasa kwenye ili gemu hana mpinzaniUsitegemee kuwa vyombo vya habari vita ripoti hii taarifa kwani mafisadi wameshavinunua.
Mimi nipo Tarime nimeshuhudia tukio
KIBARAone
Acha uongo wewe! / wana tarime wamempokea kwa mbwembwe sana/
KWANINI MTU ANABUNI UONGO NAMNA HII?
mkuu lowasa ni mafuriko hayazuiliki naona baada ya cd ya kusema lowasa ni mgonjwa kukosa soko mmekuja na nyngne ya mawe jana airport vijana walitaka kuvunja geti wakamsalimie lowasa Kangi lugola akafanya kazi kubwa kuwatuliza na kuomba geti lifunguliwe vijana wakamsalimia lowasa nakuhakikishia kua nguvu ya lowasa haizuliki trust me or not...ila upepo wa watanzania umegeukia upande wa lowasa mpaka bnafsi nmeshsngaa...Lowasa ni mpango wa Mungu kuna kitu ambacho Mungu anataka atufanyie watanzania kupitia lowasa hatuwezi kushindana na mpango wa Mungu ata tumtukane lowasa na kumsngizia kutokana na visasi vya makundi ya ndani na nje ya ccm lakini lowasa kwenye ili gemu hana mpinzani
Ni katika harakati zake za kutafuta wadhamini mikoa mbali mbali, kazi anayoifanya kwa kutumia usafiri wa ndege binafsi alizopewa na marafiki zake kama anavyodai.
Leo ilikuwa zamu ya mkoa wa Mara ambapo amedhamiria kufikia wilaya zote za mkoa wa Mara. Alipofika Tarime ndipo wananchi walishikwa na hasira na kuanza kutoa maneno mbalimbali. Maneno hayo mengine yalisikika yakisema Mwizi wa rasirimali zetu. Hapo ndipo mawe yakisema kurushwa toka kwa huo umati ndipo hatua za kumnusuru zilichukuliwa kwa kupeleka ndani ya gari.
Lakini kwa hapa Musoma, vijana wa bodaboda wapatao 200 kila mmoja alikuwa anapewa 20,000 /= na mafuta lita 5 yaani full tank, ili waweze kufanya mapokezi.
My take:
Mkoa wa Mara hatuhitaji mafisadi watutawale.
========
UPDATE:
View attachment 258863
Huyu ndiye Lowassa aliyepokelewa kwa maweNi katika harakati zake za kutafuta wadhamini mikoa mbali mbali, kazi anayoifanya kwa kutumia usafiri wa ndege binafsi alizopewa na marafiki zake kama anavyodai.
Leo ilikuwa zamu ya mkoa wa Mara ambapo amedhamiria kufikia wilaya zote za mkoa wa Mara. Alipofika Tarime ndipo wananchi walishikwa na hasira na kuanza kutoa maneno mbalimbali. Maneno hayo mengine yalisikika yakisema Mwizi wa rasirimali zetu. Hapo ndipo mawe yakisema kurushwa toka kwa huo umati ndipo hatua za kumnusuru zilichukuliwa kwa kupeleka ndani ya gari.
Lakini kwa hapa Musoma, vijana wa bodaboda wapatao 200 kila mmoja alikuwa anapewa 20,000 /= na mafuta lita 5 yaani full tank, ili waweze kufanya mapokezi.
My take:
Mkoa wa Mara hatuhitaji mafisadi watutawale.
========
UPDATE:
View attachment 258863
Hizo ni ndoto za chuki yaani atoe shs.40,000,000 kwa bodaboda 200 tu na hao wengine ni kiasi gani? jamaa akitembelea wilaya zote tz atatumia kiasi gani????? Hizo pesa zote azipate wapi? ingekuwa mnahamasisha watu wasijitokeze kumdhamini ningewaelewa lakini kupiga mawe? duu mko nyuma sana kwenye political tolerence.
Kitu cha kuwaelmisha ni kuwa kwenye siasa hakuna adui wakudumu wala rafiki wakudumu na ndiyo maana hata hao makamanda wenu wakiwa ndani ya mjengo wanakejeli sana wapinzani wao lakini nje ya mjengo wanakunywa na kula pamoja.
Huyu ndiye Lowassa aliyepokelewa kwa mawe
Bunda apatoshi mapokezi yakumpokea Lowassa Ngoyai Edward wakati wengine wakihaha kusaka wadhamini wengine ni mafuriko kila mmoja anataka kumdhamini. ‪#‎TEAMSAFARIYAMATUMANI‬#