Lowassa apigwa mawe Tarime

Lowassa apigwa mawe Tarime

hao ndo wana Akili na kuna uwezekano rais akatokea huko mara.jambazi mkubwa ngoja zama zake zina isha july.popote apitapo tunamjua ni fisadi tu.ngoja tumlie pesa zake mana ni kodi xetu alixotuibia.shame on him.
 
Yaani hilo tukio nimelishuhudia kwa macho yangu. Jamaa angejifanya kinganganizi wangemuua. Na cha ajabu alidondoka wakati anaondolewa naskia hali yake sio nzuri pamoja na afya yake mgogoro ndio doh! Balaa tupu.

Duh ! noma kweli !
 
hao ndo wana Akili na kuna uwezekano rais akatokea huko mara.jambazi mkubwa ngoja zama zake zina isha july.popote apitapo tunamjua ni fisadi tu.ngoja tumlie pesa zake mana ni kodi xetu alixotuibia.shame on him.

Anaweza kuwa Makongoro
 
Kama kweli alipigwa mawe basi waliofanya hivyo ni wahuni tu. Mimi si shabiki wa EL lakini nalaani kwa nguvu zangu zote tukio hilo kama kweli lilitokea. Vinginevyo tutakuwa na misingi gani kulaani Polisi ambao wanafanya vitendo vya uhuni dhidi ya wapinzani kwa sabau ya kile wanachodai sababu za ki-inteljensia. Wakati umefika wa kufanya siasa za kistaraabu. Tusishabikie uhuni.
 
Kilikuwa ni kikundi kidogo cha wahuni kilichokodiwa na mtangaza nia mmoja wa huko Mara.
 
Team maembe kwa style ya kucheza na ki board hamfiki popote sijui hii safari kama mtapita wami kuelekea magogoni mje iona chalinze.

Rais wa awamu ya 5 the Great EL atakuwa anazindua bunge kwa hotuba adimu
 
Nyie chezeni na ki board msiende field muone kama hata chalinze mtafika kwa mwendo huu
 
Usitegemee kuwa vyombo vya habari vita ripoti hii taarifa kwani mafisadi wameshavinunua.

Mimi nipo Tarime nimeshuhudia tukio

Mkuu inawezekana maana kwenye tv walionyesha musoma tu.
 
ngoja wapinge tu lkn habari ndiyo hiyo.

Mbona tibaijuka alizomewa huko jimboni kwake. Kwani lowassa ana tofauti gani na tibaijuka wakati wote ni kambi moja ya ufisadi?

kibara upo njema
 
shida yenu mmetawaliwa na upuzi fulani, ,fuatilieni kwa ndg zenu walioko trme au kwa aliyeangalia startv watawaambieni,,,
lowasa kazomewa ile mbaya na kuonesha vidole viwili,,ila mawe sijashudia walitupa wawili watatu hv

Tatizo la Lowassa ni mwanasiasa wa mwiaka ya 1977, habadiliki. Yeye anaamini pesa ndo njia ya kushinda. Watanzania wa leo sio wa miaka hiyo wanahitaji mtu, sio pesa yako wala chama chako.

Namkubusha kwenye uchaguzi wa jimbo la mbuge Nasari Arumeru, alitoa pesa nyingi kumsanidia ndugu yake aliyekuwa anagombea lakini hizo hela walikula na nyingine walimchangia Nasari.

Kambi yake mwambie abadilike ajipime kwa viwango vya uwezo na kukubalika yeye mwenyewe sio pesa na sio wachumia tumbu wanamfanya mtaji ,na mwisho atalalamikia CCM wamenihujumu kumbe yeye mwenyewe ndo tatizo.
 
Back
Top Bottom