Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Ameanza kupigwa kabla UNAJELIA na PESA havijaisha je vikiisha itakuwaje.
Ndio, hawezi kupendwa sehemu zote
Ameanza kupigwa kabla UNAJELIA na PESA havijaisha je vikiisha itakuwaje.
Yaani hilo tukio nimelishuhudia kwa macho yangu. Jamaa angejifanya kinganganizi wangemuua. Na cha ajabu alidondoka wakati anaondolewa naskia hali yake sio nzuri pamoja na afya yake mgogoro ndio doh! Balaa tupu.
Hotuba adimu aitoe wapi, hata takwimu za peg 1 hawezi kuzitoa kichwani. Hata akipita kwanza hizo vurugu za kampein zikiisha kabla ya kuapishwa ataenda kulazwa Nigeria.Team maembe kwa style ya kucheza na ki board hamfiki popote sijui hii safari kama mtapita wami kuelekea magogoni mje iona chalinze.
Rais wa awamu ya 5 the Great EL atakuwa anazindua bunge kwa hotuba adimu
Ndio, hawezi kupendwa sehemu zote
kama jk tena akiwa rais alipigwa mawe mbeya , itakuwa huyu raia mtia nia tu , tutafakari kwanza kabla ya kupinga .
We! atarudi Nigeria na watu wataanza kumpenda tena,subilini muone.
Uwezi zuia mafuriko kwa mikono au ndooo next prezdaaa edo
Nasubiria kusikia lowassa kenda mbeya? maana JK hajarudi tena mbeya hadi anamalizia utawala wake...
Uwezi zuia mafuriko kwa mikono au ndooo next prezdaaa edo
Watu wa Mara wameanza kujiona wana Rais baada ya watu watatu kuchukuwa form. Siku moja nilikuwa na Mmoja wao na tayari wanasema wana Rais na wengine wote wanaigiza. Hili linadhiirisha jambo ambalo siyo zuri.
Hizi sofa za kujipachika waache ni sifa zilizopitwa na wakati. Mleta Uzi siyo kwamba anatujenga watu wa Mara anawabomoa kwa kuwaonyesha siyo wavumilivu na wastaarabu. Hawa watu ni Waziri na wenye msimamo dhabiti lakini sifa unaowapachika ya kupiga kiongozi mawe hawana.
Pengine unaleta uzi huu kuwaharibia Muongo, Makongoro na Wasira. Hii haikubaliki!
Kwa ubinafsi mnaongoza kwa fujo mnaongoza. Mwaka huu Lowassa atawatoa jasho. Na hizi chuki zitaisha.Mbona TIBAIJUKA naye alizomewa huko jimboni kwake mkuu. Je huo nao ni ukaguzi? Hili Taifa kwa tulipofikia inatakiwa wananchi sasa wathubutu kwa kuwa chukulia mafisadi hatua kwani Mahakama zetu zinawalinda Mafisadi.
Watu wa Mara hatuna utani na wezi na wasaliti wa Taifa. Hata zzk alipo kuja hapa MUSOMA alizomewa na kilichomsaidia ni Escorts ya polisi.
Over