Mkoa gani ni wa wanawake nataka nikaoe.Mara, mkoa wa wanaume huo.
Lita 5 ndiyo full tank? acha uongo mkuu!
shida yenu mmetawaliwa na upuzi fulani, ,fuatilieni kwa ndg zenu walioko trme au kwa aliyeangalia startv watawaambieni,,,
lowasa kazomewa ile mbaya na kuonesha vidole viwili,,ila mawe sijashudia walitupa wawili watatu hv
mkuu hayo yanatetea ujambazi,eti yanataka watanzania tuvumilie wizi na ufisai waoLabda ujiulize uliisha lini na sababu za kupelekea uvumilivu kuisha. . . . . .kabla ya kutaka kufundisha upya
Lowassa atawatoa roho mwaka huu. Mafuriko hayazuiliwi kwa viganja.
Kapigwa mawe sehemu gani kamanda kichwani, mgongoni sehemu gani ya mawili na vipi hali anaendeleaje?
Hakuna kitu kibaya kama dharau.hili jambazi bora lingepigwa hadi kifo au wangemkamata wa kamchoma moto.Lowasa jambazi mimi mwenyewe nilimkosa tofari la kichwa
shida yenu mmetawaliwa na upuzi fulani, ,fuatilieni kwa ndg zenu walioko trme au kwa aliyeangalia startv watawaambieni,,,
lowasa kazomewa ile mbaya na kuonesha vidole viwili,ila mawe sijashudia walitupa wawili watatu hv
unafikiri pikpiki full tank ni liter ngapi?......Lita 5 ndiyo full tank? acha uongo mkuu!
usilolijua kaka kaa kimya!!kuna mengine hayapaswi kujulikana manake ukisikia uipokaa unaweza kujitia kitanzi...ulivyo na moyo mdogo usijue kabisa...kaaa kimyaKIBARAone
Hizo ni ndoto za chuki yaani atoe shs.40,000,000 kwa bodaboda 200 tu na hao wengine ni kiasi gani? jamaa akitembelea wilaya zote tz atatumia kiasi gani????? Hizo pesa zote azipate wapi? ingekuwa mnahamasisha watu wasijitokeze kumdhamini ningewaelewa lakini kupiga mawe? duu mko nyuma sana kwenye political tolerence.
Kitu cha kuwaelmisha ni kuwa kwenye siasa hakuna adui wakudumu wala rafiki wakudumu na ndiyo maana hata hao makamanda wenu wakiwa ndani ya mjengo wanakejeli sana wapinzani wao lakini nje ya mjengo wanakunywa na kula pamoja.
Wanatarime tunasema kwa ccm kama sio MAGUFULI au MUHONGO hatutaki kumuona mtu huku,