Lowassa anasafishwa!

Kwani kumtetea kuna kosa gani hasa ikiwa una uhakika kaonewa? Unataka ajisemee mwenyewe kwani hujui jinsi ushahidi wa second person ulivyo na nguvu kuliko wake mwenyewe?
Niliwahi kuandika na sasa naandika tena iko siku wote mtaona aibu mtakapojua kilichotokea!!!

Nani kakataa kutetewa swala utetezi wa kitoto kupita kiasi,jipangeni vizuri mambo yatuingie vichwani vema.Kwani ktk law haisemwi kuwa dispute is not the dispute until its said to be the dispute of interest.

You can run but you can't hide
!
 
wE HAVE LONG WAY TO UKOMBOZI WA KWELI.

Hapa nchini mwetu kuna majasiri wa aina nyingi sana na haswa huu7 mwenye uwezo wa kutetea ufisadi anapaswas kuwa jasiri wa aina yake kwani kutetea jambo kama hilo ni kutokujitambua ama ni ujasiri uliopatiliza sana.
 
wE HAVE LONG WAY TO UKOMBOZI WA KWELI.

Hapa nchini mwetu kuna majasiri wa aina nyingi sana na haswa huu7 mwenye uwezo wa kutetea ufisadi anapaswas kuwa jasiri wa aina yake kwani kutetea jambo kama hilo ni kutokujitambua ama ni ujasiri uliopatiliza sana.
 
Bwana eeeh, sasa hii itakuwa michosho

Lowassa ni nani mpaka aonekane malaika wa bila yeye serikali haiendi? Kama haiendi ni kwa sababu Rais ni weak..lakini si ndo kura zote mlimrundikia...ukurasa wa Lowassa ulishafungwa..ni mmoja wa mafisadi, fyoso, ambaye tangu 1995 alishajulikana ni mroho wa mali na utajiri wa haraka haraka..hatumuhitaji kwa lolote, mazuri alofanya ulikuwa ni wajibu alioustahili kuufanya..fullstop.

Kwani chinga, Mkapa si alitawala mfumuko wa bei ukawa imara, mbona leo ni mtuhumiwa...na tunataka arudishe Kiwira yetu..

Kwa hili, binafsi sitapenda kusikia Lowassa anasafishwa, anajisafisha kwa lolote, milioni 152 kwa siku anajilipa na Rostam, halafu mseme alikuwa kiongozi shujaa..majizi haya mi sitaki hata kuyasikia...

Fanya takwimu..milioni 152 kwa siku ni mishahara ya kima cha chini cha watanzania wangapi?
 
Iwapo yaliyojiri kwenye majengo ya Bunge yata transpire kuwa kweli, Je, Mh. Chenge atarudi kwao tena safari hii na kulakiwa kwa vigelegele na WanaBariadi?!
 
Iwapo yaliyojiri kwenye majengo ya Bunge yata transpire kuwa kweli, Je, Mh. Chenge atarudi kwao tena safari hii na kulakiwa kwa vigelegele na WanaBariadi?!
kwa nini unaweka assumption?kwa nini asirudi kwao?subiri utaona
 
kwa nini unaweka assumption?kwa nini asirudi kwao?subiri utaona
Hollo, je kweli unaona yote yanayosemwa si ya kweli?! In a way I can understand, maana jamaa kashavumishwa kaaga dunia tayari...na ikatokea sivyo hivyo!! May be, and may be you know everything going around in these two days ni uzandiki mtupu... but again, as always, time will tell.
 
mh! tena kama spika katoa kauli kuhusu vitendo vya huyu bwana mkubwa chenge manofu nini?
kinachonisikitisha ni kuwa taifa linamezwa na imani potofu mno! kuuawa maalbino, kuchunana ngozi, na sasa kisiasa

tunawafunza nini watoto wetu? kuwa hata msomi kama andrea anaamini uchawi, je na wale wanaouwa maalbino watajisikiaje?

kazi kweli kweli
 
Lowassa, Karamage, Rostam na usanii wa Kifisadi,

Tumeambiwa kwamba katika kikao cha CCM kilichokaa jana (15/06/2008) Dodoma, Bw. Lowassa alijitete kwamba; alitaka kuufuta mkataba wa Richmond mara mbili akakataliwa!! Haya ni madai ya kinafiki kabisa ya hadithi ya Sungura na Zabibu; ”Mbichi hizi.....” Ukweli ni kwamba: ’Bwana Lowassa alijaribu kuusitisha mkataba wa Richmond baada ya kuona kwamba mbinu zao (Lowassa na Rostam) za kutuibia hazitafanikiwa kupitia kampuni hiyo (Richmond) baada ya Mabenki mawili City Bank na HSBC kukataa kupokea CL kwa niaba ya matapeli wa Richmond,

Kwa mara ya kwanza City Bank walipokataa kupokea LC ya Richmond ndipo Lowassa alipotoa wazo la kufuta mkataba, Tamaa ya Kifisi ya Bw. Rostam ndiyo iliyomshawishi akaipa muda Richmond kujaribu kupitisha LC katika Bank HSBC. Bank ambayo pia lipokataliwa! Ndipo kwa mara ya pili Bw. Lowassa akata mkataba Ufutwe.

Ikumpukwe kwamba njia ya kukamilisha wizi wao (Lowassa na Rostam) wa kifisadi ilikuwa mpaka pesa zitoke ( LC ipokelewe)

Baada ya jitihada zote kushindwa kupitia Richmond ndipo Lowassa, Karamage na Rostam waliposafiri kwenda Calgary Canada nakufanya mbinu za kufaulisha makataba kutoka Richmond kwenda Dowans;

Mwenyekiti Tanesco (Balozi Kazaura) alipokea simu kutoka kwa Bw Karamage iliyomuarifu kwamba Richmond wanataka kuuza mkataba kwa Dowans. Ikumpugwe kwamba simu hii aliipiga Bw Karamage akiwa Calgary Canada katika ziara pamoja na Bw. Lowassa na Rostam na hii ni coincident?? La hasha huo ulikuwa ni U-MAFIA wa genge la kifisadi.

Ndugu zangu hawa ni wezi - wauwaji wa Kifisadi Ni Watanzania wagapi wanakufa kwa kukosa dawa ama huduma za kawaida kabisa za kijamii – huduma ambazo zingeweza kulipiwa na zaidi ya Million 150 kwa siku Mafisadi hawa wanazotuibia? Tusikubali au kudhani kwamba CCM yaweza kuwadhibu wakati mising ya CCM kuingia katika madaraka ni Ufisadi, wamefika hata kusema kwamba walikuwa washindwe Kiteto kama sio pesa za EPA toka kwafisadi Rostam zilizokodisha Helicopta, sasa vipi Nyani atakuwa hakimu katika kesi dhidi ya Tumbiri na mlalamikaji akadhani atapata haki?
Dawa yao ni kuwazomea wakati wote tukisubiri kuwaonyesha ukweli wetu 2010.

Kazi kwenu.
Kiganja
 
Lowassa, Karamage, Rostam na usanii wa Kifisadi,

Tumeambiwa kwamba katika kikao cha CCM kilichokaa jana (15/06/2008) Dodoma, Bw. Lowassa alijitete kwamba; alitaka kuufuta mkataba wa Richmond mara mbili akakataliwa!! Haya ni madai ya kinafiki kabisa ya hadithi ya Sungura na Zabibu; ”Mbichi hizi.....” Ukweli ni kwamba: ’Bwana Lowassa alijaribu kuusitisha mkataba wa Richmond baada ya kuona kwamba mbinu zao (Lowassa na Rostam) za kutuibia hazitafanikiwa kupitia kampuni hiyo (Richmond) baada ya Mabenki mawili City Bank na HSBC kukataa kupokea CL kwa niaba ya matapeli wa Richmond,

Kwa mara ya kwanza City Bank walipokataa kupokea LC ya Richmond ndipo Lowassa alipotoa wazo la kufuta mkataba, Tamaa ya Kifisi ya Bw. Rostam ndiyo iliyomshawishi akaipa muda Richmond kujaribu kupitisha LC katika Bank HSBC. Bank ambayo pia lipokataliwa! Ndipo kwa mara ya pili Bw. Lowassa akata mkataba Ufutwe.

Ikumpukwe kwamba njia ya kukamilisha wizi wao (Lowassa na Rostam) wa kifisadi ilikuwa mpaka pesa zitoke ( LC ipokelewe)

Baada ya jitihada zote kushindwa kupitia Richmond ndipo Lowassa, Karamage na Rostam waliposafiri kwenda Calgary Canada nakufanya mbinu za kufaulisha makataba kutoka Richmond kwenda Dowans;

Mwenyekiti Tanesco (Balozi Kazaura) alipokea simu kutoka kwa Bw Karamage iliyomuarifu kwamba Richmond wanataka kuuza mkataba kwa Dowans. Ikumpugwe kwamba simu hii aliipiga Bw Karamage akiwa Calgary Canada katika ziara pamoja na Bw. Lowassa na Rostam na hii ni coincident?? La hasha huo ulikuwa ni U-MAFIA wa genge la kifisadi.

Ndugu zangu hawa ni wezi - wauwaji wa Kifisadi Ni Watanzania wagapi wanakufa kwa kukosa dawa ama huduma za kawaida kabisa za kijamii – huduma ambazo zingeweza kulipiwa na zaidi ya Million 150 kwa siku Mafisadi hawa wanazotuibia? Tusikubali au kudhani kwamba CCM yaweza kuwadhibu wakati mising ya CCM kuingia katika madaraka ni Ufisadi, wamefika hata kusema kwamba walikuwa washindwe Kiteto kama sio pesa za EPA toka kwafisadi Rostam zilizokodisha Helicopta, sasa vipi Nyani atakuwa hakimu katika kesi dhidi ya Tumbiri na mlalamikaji akadhani atapata haki?
Dawa yao ni kuwazomea wakati wote tukisubiri kuwaonyesha ukweli wetu 2010.

Kazi kwenu.
Kiganja

Sema ukweli inakera sana tumna machungu vibaya sana.Mimi nashindwa kuelewea kwa nini Kikwete anawaogopa they should be hanged au wafilisiwe na police inqury juu.Tumechoka jamani.
 
Na Mwandishi Wetu, Dodoma

WAZIRI Mkuu aliyejiuzulu, Bw. Edward Lowassa, ametetewa na wajumbe wengi wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM (NEC).

Habari za ndani ya kikao hicho kilichojadili juzi pamoja na mambo mengine uhusika wa Bw. Lowassa katika sakata la mitambo ya kufua umeme ya kampuni ya Richmond, zilisema baada ya Bw. Lowassa kujieleza wajumbe waliuona ukweli na kubaini kuwa uhusika na Richmond si wa moja kwa moja.

"Sisi tunaamini kuna vikundi ndani ya CCM ndivyo vinavyoshinikiza hali hii itokee ili Bw. Lowassa aonekane mbaya mbele ya jamii, lakini tulifikia muafaka kuwa alijiuzulu si kwa kuhusika moja kwa moja na Richmond, bali aliwajibika ili kukiokoa chama kwa wadhifa wake," kilisema chanzo chetu cha habari.

Chanzo hicho kilisema kilichojitokeza ni kuwa Bw. Lowassa alionewa katika sakata hilo na kwamba la muhimu ilikuwa ni kuwasilisha ushahidi muhimu, kama upo, katika kujihusisha moja kwa moja na Richmond.

"Hata Mwenyekiti wa Kamati teule ya Bunge, Dkt. Harrison Mwakyembe alipokuwa anahitimisha hoja yake, alisema Kamati haikubaini kuwa Bw. Lowassa alihusika moja kwa moja mbali ya kuwajibika kama Waziri Mkuu," kilisema chanzo hicho ndani ya NEC.

Mmoja wa wanachama wakongwe na kada wa siku nyingi wa CCM ambaye pia ni mjumbe wa kikao hicho, alisema maelezo yaliyotolewa na Bw. Lowassa katika NEC juzi, yalitosha kumwondoa katika kashfa ya moja kwa moja ya Richmond.

Habari zaidi zilisema wajumbe hao wa NEC walikubaliana kutoendeleza hoja hiyo na kutaka Serikali iachiwe majukumu yake na badala yake CCM ijiimarishe na iendelee kutekeleza ilani yake ya uchaguzi kwa maslahi ya wananchi.

Kauli ya wajumbe hawa ambao hawakutaka kutajwa majina yao gazetini kutokana na sababu za kisiasa, zilikuja kutokana na mgawanyiko ambao awali ulishajitokeza ndani ya NEC.

Mgawanyiko huo ulitokana na baadhi yao kutaka waliotuhumiwa kwa ufisadi wachukuliwe hatua za kichama ikiwa ni pamoja na kuvuliwa nyadhifa zao ndani ya chama; lakini kutokana na mjadala mkali, ikabainika kuwa papara zinaweza kukiathiri chama hicho na kusababisha mgawanyiko mkubwa.
 
Na Mwandishi Wetu, Dodoma

WAZIRI Mkuu aliyejiuzulu, Bw. Edward Lowassa, ametetewa na wajumbe wengi wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM (NEC).

Habari za ndani ya kikao hicho kilichojadili juzi pamoja na mambo mengine uhusika wa Bw. Lowassa katika sakata la mitambo ya kufua umeme ya kampuni ya Richmond, zilisema baada ya Bw. Lowassa kujieleza wajumbe waliuona ukweli na kubaini kuwa uhusika na Richmond si wa moja kwa moja.

"Sisi tunaamini kuna vikundi ndani ya CCM ndivyo vinavyoshinikiza hali hii itokee ili Bw. Lowassa aonekane mbaya mbele ya jamii, lakini tulifikia muafaka kuwa alijiuzulu si kwa kuhusika moja kwa moja na Richmond, bali aliwajibika ili kukiokoa chama kwa wadhifa wake," kilisema chanzo chetu cha habari.

Chanzo hicho kilisema
kilichojitokeza ni kuwa Bw. Lowassa alionewa katika sakata hilo na kwamba la muhimu ilikuwa ni kuwasilisha ushahidi muhimu, kama upo, katika kujihusisha moja kwa moja na Richmond.

"Hata Mwenyekiti wa Kamati teule ya Bunge, Dkt. Harrison Mwakyembe alipokuwa anahitimisha hoja yake, alisema Kamati haikubaini kuwa Bw. Lowassa alihusika moja kwa moja mbali ya kuwajibika kama Waziri Mkuu," kilisema chanzo hicho ndani ya NEC.

Mmoja wa wanachama wakongwe na kada wa siku nyingi wa CCM ambaye pia ni mjumbe wa kikao hicho, alisema
maelezo yaliyotolewa na Bw. Lowassa katika NEC juzi, yalitosha kumwondoa katika kashfa ya moja kwa moja ya Richmond.

Habari zaidi zilisema
wajumbe hao wa NEC walikubaliana kutoendeleza hoja hiyo na kutaka Serikali iachiwe majukumu yake na badala yake CCM ijiimarishe na iendelee kutekeleza ilani yake ya uchaguzi kwa maslahi ya wananchi.

Kauli ya wajumbe hawa ambao hawakutaka kutajwa majina yao gazetini kutokana na sababu za kisiasa, zilikuja kutokana na mgawanyiko ambao awali ulishajitokeza ndani ya NEC.

Mgawanyiko huo ulitokana na baadhi yao kutaka waliotuhumiwa kwa ufisadi wachukuliwe hatua za kichama ikiwa ni pamoja na kuvuliwa nyadhifa zao ndani ya chama; lakini kutokana na mjadala mkali, ikabainika kuwa papara zinaweza kukiathiri chama hicho na kusababisha mgawanyiko mkubwa.

Mwanasiasa anatoa maoni mbele ya wanasiasa wenzake lakini hana balls za kujulikana na Wananchi "kwa sababu za Kisiasa!"

Viongozi wetu ni wachovu wa kutupwa uani, na tuna njia ndefu ndefu ndefu mbele yetu...
 
Na Mwandishi Wetu, Dodoma

WAZIRI Mkuu aliyejiuzulu, Bw. Edward Lowassa, ametetewa na wajumbe wengi wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM (NEC).

Habari za ndani ya kikao hicho kilichojadili juzi pamoja na mambo mengine uhusika wa Bw. Lowassa katika sakata la mitambo ya kufua umeme ya kampuni ya Richmond, zilisema baada ya Bw. Lowassa kujieleza wajumbe waliuona ukweli na kubaini kuwa uhusika na Richmond si wa moja kwa moja.

"Sisi tunaamini kuna vikundi ndani ya CCM ndivyo vinavyoshinikiza hali hii itokee ili Bw. Lowassa aonekane mbaya mbele ya jamii, lakini tulifikia muafaka kuwa alijiuzulu si kwa kuhusika moja kwa moja na Richmond, bali aliwajibika ili kukiokoa chama kwa wadhifa wake," kilisema chanzo chetu cha habari.

Chanzo hicho kilisema kilichojitokeza ni kuwa Bw. Lowassa alionewa katika sakata hilo na kwamba la muhimu ilikuwa ni kuwasilisha ushahidi muhimu, kama upo, katika kujihusisha moja kwa moja na Richmond.

"Hata Mwenyekiti wa Kamati teule ya Bunge, Dkt. Harrison Mwakyembe alipokuwa anahitimisha hoja yake, alisema Kamati haikubaini kuwa Bw. Lowassa alihusika moja kwa moja mbali ya kuwajibika kama Waziri Mkuu," kilisema chanzo hicho ndani ya NEC.

Mmoja wa wanachama wakongwe na kada wa siku nyingi wa CCM ambaye pia ni mjumbe wa kikao hicho, alisema maelezo yaliyotolewa na Bw. Lowassa katika NEC juzi, yalitosha kumwondoa katika kashfa ya moja kwa moja ya Richmond.

Habari zaidi zilisema wajumbe hao wa NEC walikubaliana kutoendeleza hoja hiyo na kutaka Serikali iachiwe majukumu yake na badala yake CCM ijiimarishe na iendelee kutekeleza ilani yake ya uchaguzi kwa maslahi ya wananchi.

Kauli ya wajumbe hawa ambao hawakutaka kutajwa majina yao gazetini kutokana na sababu za kisiasa, zilikuja kutokana na mgawanyiko ambao awali ulishajitokeza ndani ya NEC.

Mgawanyiko huo ulitokana na baadhi yao kutaka waliotuhumiwa kwa ufisadi wachukuliwe hatua za kichama ikiwa ni pamoja na kuvuliwa nyadhifa zao ndani ya chama; lakini kutokana na mjadala mkali, ikabainika kuwa papara zinaweza kukiathiri chama hicho na kusababisha mgawanyiko mkubwa.

Mbona hujataja pale Lowassa alipomtoa nishai kuwa ni YEYE KIKWETE ndiye kinara wa RICHMOND kwa sababu alikataa ushauri wa waziri mkuu wake huku akidai ana busara?
 
Na Mwandishi Wetu, Dodoma

WAZIRI Mkuu aliyejiuzulu, Bw. Edward Lowassa, ametetewa na wajumbe wengi wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM (NEC).

Habari za ndani ya kikao hicho kilichojadili juzi pamoja na mambo mengine uhusika wa Bw. Lowassa katika sakata la mitambo ya kufua umeme ya kampuni ya Richmond, zilisema baada ya Bw. Lowassa kujieleza wajumbe waliuona ukweli na kubaini kuwa uhusika na Richmond si wa moja kwa moja.

"Sisi tunaamini kuna vikundi ndani ya CCM ndivyo vinavyoshinikiza hali hii itokee ili Bw. Lowassa aonekane mbaya mbele ya jamii, lakini tulifikia muafaka kuwa alijiuzulu si kwa kuhusika moja kwa moja na Richmond, bali aliwajibika ili kukiokoa chama kwa wadhifa wake," kilisema chanzo chetu cha habari.

Chanzo hicho kilisema kilichojitokeza ni kuwa Bw. Lowassa alionewa katika sakata hilo na kwamba la muhimu ilikuwa ni kuwasilisha ushahidi muhimu, kama upo, katika kujihusisha moja kwa moja na Richmond.

"Hata Mwenyekiti wa Kamati teule ya Bunge, Dkt. Harrison Mwakyembe alipokuwa anahitimisha hoja yake, alisema Kamati haikubaini kuwa Bw. Lowassa alihusika moja kwa moja mbali ya kuwajibika kama Waziri Mkuu," kilisema chanzo hicho ndani ya NEC.

Mmoja wa wanachama wakongwe na kada wa siku nyingi wa CCM ambaye pia ni mjumbe wa kikao hicho, alisema maelezo yaliyotolewa na Bw. Lowassa katika NEC juzi, yalitosha kumwondoa katika kashfa ya moja kwa moja ya Richmond.

Habari zaidi zilisema wajumbe hao wa NEC walikubaliana kutoendeleza hoja hiyo na kutaka Serikali iachiwe majukumu yake na badala yake CCM ijiimarishe na iendelee kutekeleza ilani yake ya uchaguzi kwa maslahi ya wananchi.

Kauli ya wajumbe hawa ambao hawakutaka kutajwa majina yao gazetini kutokana na sababu za kisiasa, zilikuja kutokana na mgawanyiko ambao awali ulishajitokeza ndani ya NEC.

Mgawanyiko huo ulitokana na baadhi yao kutaka waliotuhumiwa kwa ufisadi wachukuliwe hatua za kichama ikiwa ni pamoja na kuvuliwa nyadhifa zao ndani ya chama; lakini kutokana na mjadala mkali, ikabainika kuwa papara zinaweza kukiathiri chama hicho na kusababisha mgawanyiko mkubwa.

Pesa ya Mafisadi imeanza kuwachanganya wajumbe wa NEC. Waendelee kushikilia wanaloshikilia lakini wakumbuke kuwa hakuna cha kuendeleza chama bali kukiua. Inaonekana wajumbe wengi wanamhusudu EL, kwa msemo wa Mwl. Nyerere, wamchukuwe wamuweke vyumbani mwao. Kamati ya Pinda haijamaliza kazi, SISIEMU na FISADIZ walishaanza ku-SPIN mambo. Mwishowe tutaambiwa hata Mkapa au Rostam hawakushiriki moja kwa moja kwenye Ufisadi wao. Yetu masikio na macho lakini hatima yake haiko mbali.
 
Wabunge wa SISIEMU labda niwadokezee siri lakini msimwambie mtu (kwi kwi kwi) This time mkiendelea na tabia yenu chafu ya kubebana, mtaona The Full Wrath ya wenye nchi. Hii nchi ina wenyewe, waliwastahi kwa wakati fulani lakini sasa hivi there's no JOKE, hakuna cha msalia Mtume. Kama mnabisha endeleeni. Kumbukeni msimwambie mtu nimewaibia hii siri,....aahha aahha kwi kwi kwi..mmh mmh mmh.
 
Hii move ya kufunika uchafu huu inaweza kuishia kuipelekea nchi yetu pabaya. Kama chombo Kikubwa kinaweza kuwakumbatia mafisadi, na kama mwenyekiti wa chama hawezi kuendesha kikako na kikao kinamuendesha, there must be something terribly wrong. Ntashangaa sana kama EL atabounce back.
Kama hakuhusika moja kwa moja waseme ni nani alihusika na uhusika wa EL ulikuwaje. Kweli inawezekana sisi ni kundi la wajinga.
 
Hollo,
Mkuu mara nyingine vitu kama hivi havihitaji ushabiki hata kidogo.. Wewe ni Mdanganyika kama sisi na unapoleta habari kama hivi hapa ni bora zaidi uweke maoni yako wewe mwenyewe kuhusiana na habari hiyo..hii habari ya kunukuu na kutuwekea hapa bila maelezo yako wewe inanipa shida zaidi kwani sielewi unachojaribu kutuambia.

Kitu kimoja tu ambacho hawa wajumbe wameshindwa kutuhakikishia kuwa Lowassa hayumo ktk deal la Richmond au Hakuhusika moja kwa moja ni kutosema nani anamiliki kampuni hiyo!..hilo moja, Pili ni kwa nini hadi leo hii serikali bado inalipia gharama za kuzalisha umeme wa kampuni ambayo haiko registered huko ilikotoka!.. na mwisho soma vizuri maelezo yao hao wajumbe wamesema WANAAMINI kuwa Lowassa hakuhusika moja kwa moja! wao wametumia ushahidi gani? maanake yaonyesha wai kuwa wanaamini kitu ambacho ni tofauti na kusoma ushahidi unahusiana na kuhusika kwa Lowassa.
Mkuu hizi ni siasa na kama wewe upo hapa kuwabeba hawa mafisadi mkuu utapata taabu sana..Lowassa alikimbia mahojiano kati yake na sisi alipotembelea hapa akakimbilia Mexico kwenye sherehe na Uongo aliosema karamagi unatosha kabisa kutuhakikishia kwamba wote walijua na walikuwa na Uhakika na hii kampuni..
Hawa ni viongozi, maneno yao tu kabla scandal hii haijaibuka yalitosha kabisa kuwaweka ndani... Sii Lowassa wala Karamagi aliyesimama na kuwaambia wananchi hafaham,u lolote kuhusiana na Richmond isipokuwa ni wao waliokuwa wakitupa hope wananchi kila siku..
Kama kiongozi ktk ngazi zao haiwezekani kabisa wao kusimama na kuwaambia wanaanchi habari za mitambo ya umeme wa Richmond wakati huna mawasiliano, uhakika ama kuhusika moja kwa moja..After all kuhusika moja kwa moja sielewi hawa wajumbe wana maana gani!..wadhifa aliokuwa nao Lowassa as PM hawezi kuhusika na kitu chochote moja kwa moja..

Labda nikukumbushe wajibu wa Waziri mkuu kulingana na Katiba ya nchi inaonyesha wazi mnataka kuchukua sheria za mitaani ktk vijiwe vya kahawa!

52 - 1). Waziri Mkuu atakuwa na madaraka juu ya udhibiti, usimamiaji, utekelezaji wa siku hata siku wa kazi na shughuli za Serikali ya Jamhuri ya Muungano.

2). Waziri Mkuu atakuwa Kiongozi wa Shughuli za Serikali Bungeni.

3). Katika utekelezaji wa madaraka yake, Waziri Mkuu atatekeleza au kusababisha utekelezaji wa jambo lolote au mambo yoyote ambayo Rais ataagiza kwamba yatekelezwe.

Mkuu majukumu hayo yanamhusisha Lowassa na Richmond moja kwa moja kama waziri mkuu.​
 
Back
Top Bottom