Kwani kumtetea kuna kosa gani hasa ikiwa una uhakika kaonewa? Unataka ajisemee mwenyewe kwani hujui jinsi ushahidi wa second person ulivyo na nguvu kuliko wake mwenyewe?
Niliwahi kuandika na sasa naandika tena iko siku wote mtaona aibu mtakapojua kilichotokea!!!
Nani kakataa kutetewa swala utetezi wa kitoto kupita kiasi,jipangeni vizuri mambo yatuingie vichwani vema.Kwani ktk law haisemwi kuwa dispute is not the dispute until its said to be the dispute of interest.
You can run but you can't hide!