Ambiente Guru
JF-Expert Member
- May 21, 2012
- 2,623
- 1,096
Mwaga ugali namwaga mchuzi. Kenya wazuri sana, biashara na siasa mbali. Hata hivyo UK aliona Safaricom inataka kususiwa na wapiga kura haraka haraka akauza hisa kwa umma
wasalaam;
binafsi ninawasiwasi na afya ya mgombea urais kupitia chadema ndugu lowasa. Ila toka ahamie chadema yakhe hajawahi simama jukwaani zaidi ya dakika kumi.
naomba mliopo iringa mtujuze leo kaweka rekodi ya dakika ngapi?
nimestaajabu nilipoiona picha ya leo iringa mjini, lowasa anaongea lakini kashikiria 'mimbali' kwa nguvu sana na mikono miwili. ni kama amejiegemeza kwayo.
yakhe umejibu kishabiki zaidi. ngoja raia wa kawaida wajibu sheikhe
mbona unatoka povu tu, jibu swali.
ukawa mwaka huu mtapangua ngumi sana. toka kampeni za 1995 sijawahi ona upinzani ukiwa kwenye defencive side kama mwaka huu.
naombeni jibu jamani kwa wananchi wa iringa. najua majukumu ya rais hivyo kabla sijampigia kura lazima nijiridhishe yu mzima haswa. sipendi turudie uchaguzi kabla ya miaka 5
yakhe anataka kuwa rais wa watz, ni dhambi kuulizia afya yake katika kipimo kidogo kabisa cha kusimama dakika 15!
kukauka sauti kwa mwasiasa nadhani siyo tatizo sana wakati wa kampeni.
katafuta pumba nyingine yakhe, hakuna ugonjwa ambao mtu akipanda ndege anaugua
jibu swali, dakika ngapi? kudondoka bila kupoteza fahamu mara mbili ndani miaka kumi siyo tatizo kabisa. maranyingi huwa ni uchovu uliopitiliza/upungufu wa sukari.
Ila usisahau alianguka baada ya kusimama zaidi ya dakika 15
hii hoja ya kubadilisha damu ni ya kilofa na kipumbavu. duniani kote hakuna tena tiba ya kubadilisha damu mwilini. jibu swali kasimama dakika ngapi?
ndiyo, ni moja ya kipimo cha chini sana. physical fitness. tunajua majukumu ya rais, haiingii akilini rais asiyeweza kusimama hata dakika 15 ataweza mudu majukumu ya urais.
jibu swali, kasimama dakika ngapi?
haiwezi malizwa kwa majibu mapesi vile ya sumaye.
wanaume 50+ years wanakuwa na prostate hypertrophy na wachache presha ya juu(hypertension kama sijakosea kizungu). hayo magonjwa hayazuii kabisa ufanisi kazini.
Ila kiharusi/stroke/paralysis na kisukari ni tofauti kabisa - vinashusha kabisa ufanisi wa kazi.
aacha porojo sumaye, watz wa leo siyo wajinga. lowasa ni mhanga wa kiharusi. sasa madhara ya kiharusi ni sawa na madhara ya prostate hypertrophy kwa mtu?!
mbona siku ya kwanza tu lowasa alishindwa zungumza dakika 15? lowasa anafahamika kwa afya mbovu toka apatwe kiharusi.
jibu swali kama ulikuwepo iringa leo, kasimama dakika ngapi jukwaani?
kama hukuwepo nyamaza tu.
unaundugu na sheikhe yahya?
jibu swali hapo juu
Au ale ugoro
nimestaajabu nilipoiona picha ya leo iringa mjini, lowasa anaongea lakini kashikiria 'mimbali' kwa nguvu sana na mikono miwili. ni kama amejiegemeza kwayo.
Kwa Mfano Chadema ikichukua Dola, huyu nae atakua waziri. Eeh Mungu epishia mbali..
Wakati nyie mnapiga kampeni wakina Lizaboni na Ritz wapo na fiestaHii ndio Post bora kuliko zote, jumapili ya leo!
Au ale ugoro
Bila kumtaja jina; mchungaji msigwa amewataka wanachadema kususia bidhaa za mfanyabiashara mkubwa wa Iringa kwa sababu ya kuwanunua vijana wa Chadema ili wahamie CCM. Source: ITV habari usiku huu.
wasalaam;
binafsi ninawasiwasi na afya ya mgombea urais kupitia chadema ndugu lowasa. Ila toka ahamie chadema yakhe hajawahi simama jukwaani zaidi ya dakika kumi.
naomba mliopo iringa mtujuze leo kaweka rekodi ya dakika ngapi?
wewe ndo unaedanganywa mpaka leo hujajua lowasa kaja kuharibu mchezo wa m4c?.......Hivi hujajua kwanini jana kashindwa soma sera ya chama kaiishia kuwahaidi kufatilia kwenye mtandao.
wasalaam;
binafsi ninawasiwasi na afya ya mgombea urais kupitia chadema ndugu lowasa. Ila toka ahamie chadema yakhe hajawahi simama jukwaani zaidi ya dakika kumi.
naomba mliopo iringa mtujuze leo kaweka rekodi ya dakika ngapi?