Lowassa Afunika Iringa

Lowassa Afunika Iringa

Nimeamini Dr. Slaa alikua kipenzi cha wana Iringa, Slaa alikua anajaza watu zaidi ya hapo, navyoifahamu Iringa hao watu ni wachache sana tuache ubishi. Slaa alikua akitua pale mwembetogwa palikua hapatoshi

Kwa ukubwa wa uwanja wa gangilonga tulioutumia leo ni mkubwa zaidi ya mara mbili kwa ule wa mwembetogwa, haya mafuriko ya leo mwembetogwa isingeweza hata nusu, tuwe wakweli, MNYONGE MNYONGENI HAKI YAKE MPENI, hii ya Lowassa leo ni gharika kwa iringa jamani
 
Hivi nani alileta tezi dume vile ! Alijiuzulu? Mmmh me sijui la kama kasimama dakk 10 mara mikoa 32 ni dak 320 very enough kiongozi bora huwa ana maneno machache.
 
Kwani yule mgonjwa wa koo kaongea maneno mangapi leo, tuna wasiwasi na afya yake pia. Mbona hataki kupanda ndege na kila akipandwa analazwa?

kukauka sauti kwa mwasiasa nadhani siyo tatizo sana wakati wa kampeni.
katafuta pumba nyingine yakhe, hakuna ugonjwa ambao mtu akipanda ndege anaugua
 
wasalaam;
binafsi ninawasiwasi na afya ya mgombea urais kupitia chadema ndugu lowasa. Ila toka ahamie chadema yakhe hajawahi simama jukwaani zaidi ya dakika kumi.
naomba mliopo iringa mtujuze leo kaweka rekodi ya dakika ngapi?
kamuulize mgombea wenu kwa nini huwa anaenda kubadili damu ulaya kila mweizi kama ni mzima?

Sumaye pia alizungumzia madai kuwa Lowassa ni mgonjwa. Alisema mtu akishapita miaka 50 anapata matatizo ya maradhi.
Lakini hata kama mgonjwa, urais unahitaji kiongozi kuwa makini tu, kazi zinafanywa na timu nzuri anayoiteua. “Kazi hii anaiweza Mhe Lowassa.,” amesema.
Sumaye akasema kwamba kama Lowassa anasemwa na viongozi wa CCM kuwa ni mgonjwa, kwani hawajui kuwa Magufuli ni mgonjwa? Anakwenda Ulaya kila mwezi kufanya nini,” alihoji.
Taarifa za ndani ya serikali zinasema kwamba Magufuli amekuwa akienda kubadilisha damu Ulaya kutokana na kuugua ugonjwa mkubwa ulio maarufu. Hatua hiyo ya kubadilisha damu kila mwezi inagharimu fedha nyingi ambazo analipiwa na serikali anayoongoza Rais Kikwete.

 
Mjadala wa afya ya Lowasa umefungwa jana pale jangwani. kuendelea kuhoji ni dalili za ukame wa hoja upande wa pili. yaani kuishiwa!! Go Go Lowasa Go. Dr Slaa Waziri mkuu mtarajiwa aendelee na inside technicalities back stage roles
kufanikisha mission ya ukawa.
 
We ----- km huyo wenu anaemaliza alikuwa anajidondokea tu jukwaani kaweza kumaliza ten years. Cha ajabu kipi kwa bwn EL? acheni ushabiki wa kijinga

jibu swali, dakika ngapi? kudondoka bila kupoteza fahamu mara mbili ndani miaka kumi siyo tatizo kabisa. maranyingi huwa ni uchovu uliopitiliza/upungufu wa sukari.
Ila usisahau alianguka baada ya kusimama zaidi ya dakika 15
 
Bila kumtaja jina; mchungaji msigwa amewataka wanachadema kususia bidhaa za mfanyabiashara mkubwa wa Iringa kwa sababu ya kuwanunua vijana wa Chadema ili wahamie CCM. Source: ITV habari usiku huu: My take: Awashauri waache na kazi kabisa wote walioajiriwa na huyo mfanyabiashara. Then wakaombe kazi kwa matajiri wa CHADEMA.
 
Aisee, kumbe Jangwani sasa ni Iringa. Hivi uongo mtaacha lini nyie UKAWA?

Endeleea kujofariji Jana mkulu wenu kapiga pale ikulu baada ya kuwauliza wapambe kuhusu jangwani wakasema hakuna kitu,,
Na mda huo huo mpambe mwingine akiwa kwenye jam pale magomen akalazimika kugeuza gr maana hakuwa na njia ya kupita fire ww unasema ujinga
 
kamuulize mgombea wenu kwa nini huwa anaenda kubadili damu ulaya kila mweizi kama ni mzima?

Sumaye pia alizungumzia madai kuwa Lowassa ni mgonjwa. Alisema mtu akishapita miaka 50 anapata matatizo ya maradhi.
Lakini hata kama mgonjwa, urais unahitaji kiongozi kuwa makini tu, kazi zinafanywa na timu nzuri anayoiteua. “Kazi hii anaiweza Mhe Lowassa.,” amesema.
Sumaye akasema kwamba kama Lowassa anasemwa na viongozi wa CCM kuwa ni mgonjwa, kwani hawajui kuwa Magufuli ni mgonjwa? Anakwenda Ulaya kila mwezi kufanya nini,” alihoji.
Taarifa za ndani ya serikali zinasema kwamba Magufuli amekuwa akienda kubadilisha damu Ulaya kutokana na kuugua ugonjwa mkubwa ulio maarufu. Hatua hiyo ya kubadilisha damu kila mwezi inagharimu fedha nyingi ambazo analipiwa na serikali anayoongoza Rais Kikwete.


hii hoja ya kubadilisha damu ni ya kilofa na kipumbavu. duniani kote hakuna tena tiba ya kubadilisha damu mwilini. jibu swali kasimama dakika ngapi?
 
Hizi ndo mada zinazoletwa baada ya kutoka kupiga komoni na wanzuki
Hata akiwa ICU tutampigia tu kura
 
Kumbe uthibitisho wa afya ni kusimama muda mrefu !!!????

ndiyo, ni moja ya kipimo cha chini sana. physical fitness. tunajua majukumu ya rais, haiingii akilini rais asiyeweza kusimama hata dakika 15 ataweza mudu majukumu ya urais.
 
Back
Top Bottom