Lowassa Afunika Iringa

Lowassa Afunika Iringa

Hapa ni dsm...nyuma kituo cha mabasi yaendayo kasi kituo cha jangwani
kampen za ubunge jimbo la magu-MWANZA muda huu
iringa.jpg
 
wasalaam;
binafsi ninawasiwasi na afya ya mgombea urais kupitia chadema ndugu lowasa. Ila toka ahamie chadema yakhe hajawahi simama jukwaani zaidi ya dakika kumi.
naomba mliopo iringa mtujuze leo kaweka rekodi ya dakika ngapi?
 
Hizo porojo za ccm na hoja mfuu. Watanzania hawati rais anaeongea snaaaaa kama cherehani na kutoa ahadi za uongo. Watanzania wanataka man of action sio kubwabwaja mdomo Tu. Na lowasa ndie tunaemuhitaji kwa mabadiliko.
 
Afya Afya siukaijadili afya yako yani jitu ata kufanya total medical check up halijawahi ila kujadili afya za watu malofa km aya ndo huwa yanaomba msaada daily yakiugua.....Mabadiriko lazima hatuitaji MC sisi wala JOHN CENA ikulu.....
 
Picha hapo juu ni jangwani Jana mtupe picha za Iringa tafadhali
 
Back
Top Bottom