Lowassa Afunika Iringa

Lowassa Afunika Iringa

Utakufa wew inayejiona una afya na utamuacha yey asiye na Afya!
 
 
mbona yule mwingine alishawahi kudondoka akaibukia LGMH na ameweza?
Lakini alienda USA kufanyiwa Tz**me?
 
Lowasa ni mpango wa mungu..Tunaikomboa Tanzania yetu hapo October 25
 
Nani ataamini kuwa hotuba hii ni ya kwake mwenyewe kama sio ya walioiandaa? Mbona vipaumbele vyake vile vinne havifafanuliwa?
1.elimu,2.elimu, 3.elimu, 4.Kumtoa babu seya na wahalifu sugu.
Hata usipoamini wewe! sisi tunaamini!

Lowassa sio mgombea mgeni kwetu, Tunamfahamu toka kitambo, alikuwa serikalini sema hakupewa fursa tu!

Sasa watanzania tulio wengi tumeshakubaliana kwa kauli moja kuwa tutampa LOWASSA kura nyingi mpaka ulimwengu

ushangae!

CCM Wataiba lakini hazitapunguza kitu! LOWASSA kwa sasa tunamhitaji kuliko mtu yeyote yule hapa TANZANIA!
 
Bila sera lowasa kura za family yangu watu 10 Ni zako sitaki shida, mbu (CCM) umetunyonya vya kutosha
 
anatafuta vitabu vya intelligency shikamoo kitengo we jamaa tumesoma o-level pamoja
 
Wa bongo bwana kwani afya yake inakusaidia nini au inakukera nini unaacha kujadili afya yako unajadili afya ya wenzio badilika
 
Weka uhakika wa kiharusi hapa nianze amini, no porojo za skuli hapa mwanangu.
unaweza shindwa tembea/simama kwa sababu nyingine na akili yako ikabaki super yakhe. Ila kiharusi kinaathiri akili/uwezo wa kufikiri na kuamua. mhanga wa kiharusi akishindwa simama muda mrefu inatia wasiwasi kama kichwani yupo sawa yakhe
Alaf mgonjwa ni mgonjwa tu hawana tofauti hata.
 
Back
Top Bottom