Savimbi Jr
JF-Expert Member
- Sep 23, 2011
- 6,818
- 9,191
Lowassa tushamuelewa tangia 2005 alivyokuwa waziri mkuu,tulikua tunasubiri zamu yake ifike tumpe ikulu hata asipopiga kampeni tunampa maana tulishamuelewa kitambo.
Na picha zenyewe zinaonekana ni kutoka viwanja tofauti. Mwaka huu tutalishwa propaganda na hivi vyama vya siasa mpaka tutajuta kuzaliwa.
Kuongea maneno Mengi Sio ndio Kiongozi Bora, Kiongozi Mwingine Anatenda. Tatizo Mitanzania Imezoea Kudanganywa na
Wanasiasa Wabwabwaji. Je Marais wako Waliotangulia kwa Kubwabwaja kwao Unaona Walipotufikisha?.
Mm ni ccm lakini nimeukubaali mziki wa lowasa ntakupa tu kura yangu cdm oyee
Naona Lori kwa mbaaaali zinasubiria mizigo baada ya speech ya dakika 3 ya mgombea
Mbona kama imechina hiyòoo
nimestaajabu nilipoiona picha ya leo iringa mjini, lowasa anaongea lakini kashikiria 'mimbali' kwa nguvu sana na mikono miwili. ni kama amejiegemeza kwayo.
Msigwa amepanickama ndio mfanyabiashara ambayo yupo akilini mwangu basi msigwa kagonga mwamba jamaa namfahmu viziri sana ana nguvu kubwa sana Iringa isitoshe pia amesaidia sana jamii ya wana iringa bila kujali itikadi za chama . Pia huyu bwana ana nguvu sana CCM at my point of view msigwa harudi tena jimbo la iringa.
Watu bwana, badala ya kujibu Swali la mwanzisha mada, mnaleta porojo, Swali limeulizwa ameongea dakika ngapi, sio kuwa wewe utampa kura au laa.....
Angalia tu, Usije ukampigia kura akiwa six futi under kwa mahaba uliyonayo kwake.
Wenye majibu tupeni majibu, wenye porojo anzisheni Uzi wenu wa porojo.
Kuongea maneno Mengi Sio ndio Kiongozi Bora, Kiongozi Mwingine Anatenda. Tatizo Mitanzania Imezoea Kudanganywa na
Wanasiasa Wabwabwaji. Je Marais wako Waliotangulia kwa Kubwabwaja kwao Unaona Walipotufikisha?.
"Dakika moja!" Alisalimia tu kisha akakaa! Ila tutampa kura zetu, na tutahakikisha kuwa ndiye Rais wetu ajaye!
Umefurahi?
tumesha amua malofa hata waseme mwizi, mgonjwa yuko icu lakini tutamchagua huyo
Kurugenzi ya habari hamko makini kipindi hiki... mnazidiwa hata na updates za ACT wasaliti ... angalieni walivo toa updates vizuri kwenye mkutano wao wa leo... kwa hili makene tumahitaji crew itakayo kuwa inatupa updates on the spot na kwa uhakika kwenye kila mkutano wa raisi mtarajuwa.... nimecheki pia kwenye website ya chadema hamana chochote kuhusu kinacho endelea Iringa.... hii hapana makamanda....
.