yomboo
JF-Expert Member
- May 9, 2015
- 6,225
- 4,905
wasalaam;
binafsi ninawasiwasi na afya ya mgombea urais kupitia chadema ndugu lowasa. Ila toka ahamie chadema yakhe hajawahi simama jukwaani zaidi ya dakika kumi.
naomba mliopo iringa mtujuze leo kaweka rekodi ya dakika ngapi?
Leo alichuchumaa na tutampa kura hata akilala huyo ndo raisi wetu