Lowassa Afunika Iringa

Lowassa Afunika Iringa

wasalaam;
binafsi ninawasiwasi na afya ya mgombea urais kupitia chadema ndugu lowasa. Ila toka ahamie chadema yakhe hajawahi simama jukwaani zaidi ya dakika kumi.
naomba mliopo iringa mtujuze leo kaweka rekodi ya dakika ngapi?


Yuko mmoja alianguka jukwaani kwa kuongea hatimae alipopata hakutekeleza hata moja mpaka sasa.
 
Kumbe uthibitisho wa afya ni kusimama muda mrefu !!!????
 
hatakama atakuwa kwenye machela tutampa tu kura zetu malofa

englibertm;
Mola akuzidishie hekima yako. Wako watu ambao wanashadidia sana ugonjwa wa wengine, sijui wao ndo wazima zaidi au?? Naweza kusema, Lowasa sikumwona kule Loliondo kwa babu, ila huyu Magofuli na Lukuvi niliwaona wakifurahia kile kikombe. Sasa swali ni je! hao ni wazima??
Acheni matusi mnamtukana Muumba wenu kuwa anawabagua watu kwa kuwapa magonjwa wengine na wengine kuwa wazima.
Mbona Wakenya walimchagua Kibaki akiwa kwenye wheel chair?? Mtamtukana, mtaufurahia ugonjwa wake lakini mwisho wa siku Ikulu ataingia tuuu. 2015 ni yenu ccm kuamua kunywa sumu
 
Kwani yule mgonjwa wa koo kaongea maneno mangapi leo, tuna wasiwasi na afya yake pia. Mbona hataki kupanda ndege na kila akipandwa analazwa?
 
Na picha zenyewe zinaonekana ni kutoka viwanja tofauti. Mwaka huu tutalishwa propaganda na hivi vyama vya siasa mpaka tutajuta kuzaliwa.
Mkoa mmoja na majimbo yake yote so utaendelea ona picha tofauti kwa kila siku,,kama kesho mkoa mwengine na majimbo yake saa tofauti na mda tofauti
 
Na picha zenyewe zinaonekana ni kutoka viwanja tofauti. Mwaka huu tutalishwa propaganda na hivi vyama vya siasa mpaka tutajuta kuzaliwa.
Mkoa mmoja na majimbo yake yote so utaendelea ona picha tofauti kwa kila siku,,kama kesho mkoa mwengine na majimbo yake saa tofauti na mda tofauti maeneo tofauti
 
wewe ndo unaedanganywa mpaka leo hujajua lowasa kaja kuharibu mchezo wa m4c?.......Hivi hujajua kwanini jana kashindwa soma sera ya chama kaiishia kuwahaidi kufatilia kwenye mtandao.

Sasa kama mnajua kaja kuharibu Mc4,, dakika za kwenye majukwaa mnataka za nn? Mara ni mgonjwa mara cjui mambo gani? Kama point ni kuharibu Mc4 acha aharibu nyie tatizo lenu nn?
 
Babu Duni ndani ya viwanja vya mashujaa Mtwara leo jioni.
 

Attachments

  • 1440956406448.jpg
    1440956406448.jpg
    41.8 KB · Views: 323
  • 1440956432994.jpg
    1440956432994.jpg
    29.8 KB · Views: 310
Tanzania inamuhitaji Rais mtendaji sio Rais muongeaji. Ikulu sio Dar Live ukumbi wa burudani
 
naombeni jibu jamani kwa wananchi wa iringa. najua majukumu ya rais hivyo kabla sijampigia kura lazima nijiridhishe yu mzima haswa. sipendi turudie uchaguzi kabla ya miaka 5

We ----- km huyo wenu anaemaliza alikuwa anajidondokea tu jukwaani kaweza kumaliza ten years. Cha ajabu kipi kwa bwn EL? acheni ushabiki wa kijinga
 
Back
Top Bottom